Hadi sasa Lowassa njia nyeupeeee for Presidential candidate wa CCM 2015, na 7bu zipo wazi, read this
1. Mkapa alifurahia wakati Lowassa anaongea, meaning Ben is supporting EL, signs are clear
2: Sumaye, another powerful political leader & rich dude, wazi wazi anam support Lowassa tena kasema wakina Nape na Chilligati wachukuliwe hatua
3. Mzee Kingunge yupo 100% upande wa Lowassa, na ni baada ya kujua ukweli halisia kuhusu tuhuma dhidi ya EL are fake, publicized tu.
4: Hapa niseme JK yupo na Lowassa 100% na hawezi kuongea hadharani kwa nafasi alionayo sasa, ila dalili na matendo yapo clear, JK hadharani hajawahi mshutumu EL hata siku moja, hadi sasa ni marafiki....
5: EL ana support ya all rich dudes, Rostam, Karamagi, Chenge, na support kubwa hasa si kwa hawa financial power house wa CCM bali Wanachama wa CCM wanampenda saaaana, yaani leo NEC, CC, na wajumbe wa mikoa wa CCM, Lowassa ni lulu, signs are clear
6: Makanisani Roman Catholic & Lutheran churches EL kashamaliza kazi, wanampenda na wengine mfano mzee wa upako, Anthony Lusekelo wazi wazi anampigia kampeni mapemaaaa.....
What i see now & days to come-----
EL hana mpinzani CCM hadi sasa, na wazee wa CCM tayari wamemkubali, EL ni Field Marshall wa siasa za hapa TZ na atashinda Urais, ngojeni muoneee....