Mwanademokrasia
New Member
- Nov 28, 2011
- 1
- 0
Watanzania tusiongozwe na hisia bali imani ya kweli na inayofuata misingi ya haki...Lowasa alipewa chance na chama chake (wafuasi wa kundi lake ndani ya CCM) kujisafisha ili kutimiza azma yake ya kuchukua nchi 2015....
Kwa kuwa haki haikutendeka katika kutekeleza maazimio ya kamati iliyochunguza Richmond...basi ndivyo hivyo haki itakavyokiukwa katika kumfanya Lowasa kuchukua nchi 2015....
CCM itafanya kila namna kwa kipindi hiki kilichobaki ili kuhakikisha anapata suuport ya chama...ikiwezekana ngoma itabaki kwa wananchi...na hata kama wananchi watamkataa..basi yale ya kura za kichina!
Kwa kuwa haki haikutendeka katika kutekeleza maazimio ya kamati iliyochunguza Richmond...basi ndivyo hivyo haki itakavyokiukwa katika kumfanya Lowasa kuchukua nchi 2015....
CCM itafanya kila namna kwa kipindi hiki kilichobaki ili kuhakikisha anapata suuport ya chama...ikiwezekana ngoma itabaki kwa wananchi...na hata kama wananchi watamkataa..basi yale ya kura za kichina!