Elections 2015 Lowassa akanusha tetesi za kuhamia CHADEMA

JIULIZE KWANZA

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
2,569
Reaction score
500
Kumeendelea kujitokeza taarifa mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu Mh. Lowassa kuhamia chama cha Chadema.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Mh. Lowassa amekabidhiwa kadi ya Chadema, ameshiriki uzinduzi wa tawi la Chadema na kwamba kutaandaliwa mkutano wa kumkaribisha katika viwanja vya jangwani.

Kwa mara nyingine tena, ofisi ya Mh. Lowassa inakanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na zenye kutaka kupotosha umma wa watanzania.

Imetolewa na ofisi ya Mh.Lowassa (Mbunge)
 
Japo chadema inahitaji wanachama wengi, si Lowasa! Ni mchafu sana, fîsadi, mla rushwa, tamaa, mlafi! Huyo anafaa sana Act!
 
Hapa Lowasa anataka kutishia nyau, Mueleze aendeleze mchakato wa kutimiza ndoto zake hukohuko CCM, Kama anamawazo yoyote ya kwenda CHADEMA aeleze ukweli Richmond ilikuwa yake au ya Mkware, hapo ndo tutafikiria kumsamehe madhambi yake.
 


Hayo mbona ni maneno ya kawaida sana kwa wanasiasa?kama mtu anaweza kukuambia tuna hakikisha barabara zote tunaweka lami mijini alafu unakuja unakuta kati kati ya jiji kuna vumbi..........aaaaaaaaahhhhhhhhhh alafu unasema sijawahi sema au kuahidi ndo siasa zilivyo,unambiwa mtaji mkubwa wa siasa/mwanasiasa ni uwongo so guys take a note
 
Akiamia kwenu mtasema amekuwa muungwana
Nikisikia cdm naona kama uchafu

CHADEMA ndio chama pekee tanzania chenye lengo la dhati na chanya kwa taifa hili, so ni lazima uone uchafu sababu ccm hakuna anaye ipenda chadema maana imewaumbua dili zenu nyingi sana, kaa chonjo itakusafisha na wewe si mda mrefu.
 
CHADEMA hakina hadhi ya kuungwa mkono na watu makini kama Mh.Lowassa.
 
Hakuna mwanasiasa makini anayeweza kuhamia chadema bali wanasiasa makini waliomo chadema wanahamia vyama vingine
 
CHADEMA ndio chama pekee tanzania chenye lengo la dhati na chanya kwa taifa hili, so ni lazima uone uchafu sababu ccm hakuna anaye ipenda chadema maana imewaumbua dili zenu nyingi sana, kaa chonjo itakusafisha na wewe si mda mrefu.

Mlango uliongoa mm nimeshatoka ndio mana nikaona uchafu mkubwa sana
Hivi sasa
Tunawasilimisha na kuwabatiza watu kwa sera ya
Kuvuwa gwanda
Kuviwa gamba
Na kuuvaa uzalendo
Bado ww tutakufikia tu ww na utauvaa uzalendo
 
Kwanza kuna mtu anaweza akaweka hapa hizo taarifa anazozema huyu Jambazi ziko kwenye vyombo vipi vya habari? Mi CCM bwana miongo mioooongo.
 
CHADEMA hakina hadhi ya kuungwa mkono na watu makini kama Mh.Lowassa.

We kijana mdogo tu wa kiswahili
Nani amekupotosha kiasi hiki? Tukupe muda utayaamini macho yako kiuhalisia Lowasa siyo mbaya kama ccm.
nchi hii mzizi wa matatizo ni ccm tu siyo mtu
Hiki chama chakavu kimeichakaza nchi hii tuliyopewa na Mungu bure
 
Mlango uliongoa mm nimeshatoka ndio mana nikaona uchafu mkubwa sana
Hivi sasa
Tunawasilimisha na kuwabatiza watu kwa sera ya
Kuvuwa gwanda
Kuviwa gamba
Na kuuvaa uzalendo
Bado ww tutakufikia tu ww na utauvaa uzalendo

Jamaa wanachungulia chaguzi zinazoendelea, wanaona hawawezi kuchaguliwa tena wanakuja kupiga hela kwenu wakijifanya wametimka kumbe wameona hakuna nafasi tena kwa wachumia tumbo na ninyi mnashangilia!? kweli wajinga ndio waliwao! Watapiga sana hela wakati huu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…