Elections 2015 Lowassa akanusha tetesi za kuhamia CHADEMA

Elections 2015 Lowassa akanusha tetesi za kuhamia CHADEMA

mnamgombania lowasa kwani hamna wanachama huko kwenu michadeam bana.
 
Hapo ndo kwaaanza hata robo ya 2015 haijafika, tutayasikia mengi sana...
 
mjumbe hauwawi kamanda UVCCM Wamemsemea sana mpaka leo kakanusha


Hayo mbona ni maneno ya kawaida sana kwa wanasiasa?kama mtu anaweza kukuambia tuna hakikisha barabara zote tunaweka lami mijini alafu unakuja unakuta kati kati ya jiji kuna vumbi..........aaaaaaaaahhhhhhhhhh alafu unasema sijawahi sema au kuahidi ndo siasa zilivyo,unambiwa mtaji mkubwa wa siasa/mwanasiasa ni uwongo so guys take a note
 
Jamaa wanachungulia chaguzi zinazoendelea, wanaona hawawezi kuchaguliwa tena wanakuja kupiga hela kwenu wakijifanya wametimka kumbe wameona hakuna nafasi tena kwa wachumia tumbo na ninyi mnashangilia!? kweli wajinga ndio waliwao! Watapiga sana hela wakati huu!!

atunashaka ndugu chama chetu ni chakizalendo na donesheni ndio mpago na sera ya act
Waliokuwa na hofu ya kutochaguliwa ni wale waliokuwa wanawapiga wenzao na kuwawekeya vikwazo kibao iliwapite bila kupingwa
 
Kumeendelea kujitokeza taarifa mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu Mh. Lowassa kuhamia chama cha Chadema.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Mh. Lowassa amekabidhiwa kadi ya Chadema, ameshiriki uzinduzi wa tawi la Chadema na kwamba kutaandaliwa mkutano wa kumkaribisha katika viwanja vya jangwani.

Kwa mara nyingine tena, ofisi ya Mh. Lowassa inakanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na zenye kutaka kupotosha umma wa watanzania.

Imetolewa na ofisi ya Mh.Lowassa (Mbunge)


Edward Lowassa Official Online Office


Siyo type yetu huyo
 
Kumeendelea kujitokeza taarifa mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu Mh. Lowassa kuhamia chama cha Chadema.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Mh. Lowassa amekabidhiwa kadi ya Chadema, ameshiriki uzinduzi wa tawi la Chadema na kwamba kutaandaliwa mkutano wa kumkaribisha katika viwanja vya jangwani.

Kwa mara nyingine tena, ofisi ya Mh. Lowassa inakanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na zenye kutaka kupotosha umma wa watanzania.

Imetolewa na ofisi ya Mh.Lowassa (Mbunge)

ILA ALITOA MCHANGO MKUBWA SANA MWAKA 2010 katika kampeni za chadema kwa kuzifadhili helkopta zizunguke nchi nzima mara tatu tatu yeye na rostam ikiwa ni sehemu ya kisasi chake yeye na rostam dhidi ya jk baada ya jk kuwatosa
 
Hapa Lowasa anataka kutishia nyau, Mueleze aendeleze mchakato wa kutimiza ndoto zake hukohuko CCM, Kama anamawazo yoyote ya kwenda CHADEMA aeleze ukweli Richmond ilikuwa yake au ya Mkware, hapo ndo tutafikiria kumsamehe madhambi yake.

Lowwasa hawezi isaliti ccm,Chadema gongo mnaota
 
Hapa Lowasa anataka kutishia nyau, Mueleze aendeleze mchakato wa kutimiza ndoto zake hukohuko CCM, Kama anamawazo yoyote ya kwenda CHADEMA aeleze ukweli Richmond ilikuwa yake au ya Mkware, hapo ndo tutafikiria kumsamehe madhambi yake.

unaumwa kifaduro
 
Kumeendelea kujitokeza taarifa mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu Mh. Lowassa kuhamia chama cha Chadema.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Mh. Lowassa amekabidhiwa kadi ya Chadema, ameshiriki uzinduzi wa tawi la Chadema na kwamba kutaandaliwa mkutano wa kumkaribisha katika viwanja vya jangwani.

Kwa mara nyingine tena, ofisi ya Mh. Lowassa inakanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na zenye kutaka kupotosha umma wa watanzania.

Imetolewa na ofisi ya Mh.Lowassa (Mbunge)


Edward Lowassa Official Online Office

Wanajitungia Uongo wenyewe halafu wanakuja kukanusha wenyewe ili wapate attention ya kisiasa.
 
In politics, there is neither permanent friends nor permanent enemies!, there is only a common interest!.
Wale wapenzi wa huyu jamaa yangu msiwe na wasiwasi, kauli hizi ni payment tuu ya kitu kinachoitwa "lip services", alisema tutajadiliana jinsi ya kuvuka daraja, tutakapofika darajani!. Kwa sababu sasa bado hatujafika darajani, subirieni tutakapofika, kama lengo ni kuvuka daraja, then itatumika njia yoyote kuvukia, na ikitokea kivuko cha CCM kikamtosa mtoni, atashika kamba yoyote kujiokoa afike salama, vinginevyo kama na yeye ameanza kukata tamaa, na sasa yuko tayari kuzama na meli mbovu wafe wote!.

Baada ya Mrema kusema mbovu siku ile kule bungeni na kukiuka the rule of "collective responsibility" nilimuuliza kama atahama CCM!, alisema "sihami na nitafia CCM!", hata mwezi haukupita alihamia NCCR!.
Lilipotokea tifu huko NCCR mako pia nilimuuliza tena kama atahama, akasema this time haami NCCR, atafia NCCR na ko haukupita mwezi alihamia TLP!. Kwa vile TLP ametangazwa ni rais wa maisha "life president" hivyo msishangae mambo yakibadilika!.

Kwa situation ilivyo as of now, hutu jamaa ndio maarufu kuliko mgombea yoyote mwingine wa CCM save for his frail health status, ila pia Chadema haina mgombea wa calibre yake!, ukawa haina mgombea kabisa!, kama afya sio mgogoro, CCM wakimtosa, he has no any other option ya kutimiza ndoto yake but to cross the line!, kazi ya kwanza atawaambia Watanzania mmiliki halisi wa Richmond na why he had to carry that cross!, watt watabaki midomo wazi!, then at a cross the line and believe me, tutampa and this is the only way CCM Chali!.

Pasco.
 
Back
Top Bottom