Elections 2015 Lowassa akanusha tetesi za kuhamia CHADEMA

Elections 2015 Lowassa akanusha tetesi za kuhamia CHADEMA

Hizi mbio za urais ndio mahali wanaccm siasa xenu za majitaka zitaonekana vizuri. Karibia wote humu kwenye huu uzi ni wanaccm mnajichafuana wenyewe kwa wenyewe. Ila ni bora mchafuane ili mwisho wa siku mbomoke uozo wenu tuuone vizuri.
 
jamani James Njau ni mmoja wa watu walio sambaza sana taarifa hii facebook, sasa mlitaka tunyamaze, watanzania wenzangu tunachokisema ndicho tunachomaanisha.
 
Lowasa!!?

Loading............

Network error

Again Loading...............................

FAILED
 
Hivi LOWASSA ni kipenzi cha CHADEMA au wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa?
 
Seriously CDM wanamtaka huyu mtu mpk Waanze kujizushia au Mh.Lowasa ndiye ameamua kuja kivingine ktk kutaka jina lake lisikauke midomoni mwa Watanzania?

Hivi kweli unaamini kuwa CDM wanamtaka Lowasa tena baada ya kumuita fisadi numba 1 pale mwembeyanga? Anyway, hiyo ni janja ya design za kina January au Membe ili kumpunguza nguvu. Kwa uzushi kama huu watamfanya asiaminike CCM. Hata Salim walianza kidogo kidogo kidogo kidogo 2005 mpaka mwisho wakamchafua moja kwa moja mpaka hii leo itakuwa vigumu kumsafisha. Kuna watu watahoji kwa nini CDM wako kimya kama siyo kweli unaamini.............. lakini CDM wamekaa kimya ili CCM wajimalize wenyewe, period!!
 
Hizi mbio za urais ndio mahali wanaccm siasa xenu za majitaka zitaonekana vizuri. Karibia wote humu kwenye huu uzi ni wanaccm mnajichafuana wenyewe kwa wenyewe. Ila ni bora mchafuane ili mwisho wa siku mbomoke uozo wenu tuuone vizuri.

Mbona unaongea kinyume, CDM ndiyo wameanzisha huu uzi, wanafikiri CCM ni wachanga wa siasa kama wao.
 
Hivi kweli unaamini kuwa CDM wanamtaka Lowasa tena baada ya kumuita fisadi numba 1 pale mwembeyanga? Anyway, hiyo ni janja ya design za kina January au Membe ili kumpunguza nguvu. Kwa uzushi kama huu watamfanya asiaminike CCM. Hata Salim walianza kidogo kidogo kidogo kidogo 2005 mpaka mwisho wakamchafua moja kwa moja mpaka hii leo itakuwa vigumu kumsafisha. Kuna watu watahoji kwa nini CDM wako kimya kama siyo kweli unaamini.............. lakini CDM wamekaa kimya ili CCM wajimalize wenyewe, period!!

Nani sasa mchafuzi wa LOWASSA, CCM au CHADEMA waliomuita FISADI mwembeyanga? hebu nyoosha udaku wako basi angalau uonekane kuna kitu unataka kusema then tutaona kama pumba au la.
 
Naona CDM mmesubiri sana kuona makundi ya CCM yakikisambaratisha chama kama CDM ilivyosambaratika bila mafanikio , na sasa mmeamua kuingiza gear wenyewe. Mnapoteza muda bure CCM ni wakomavu wa Makundi mwisho wa siku wataelewana tu.
 
Karibu Eduwad

Bora wewe umejipambanua kuwa huu uzi mmeanzisha nyie kuliko hawa wanaojikanyaga kuwa ni CCM .Hata hivyo sidhani kama mtafanikiwa, CCM ni majemadari wa siasa siyo rahisi kuwagonganisha vichwa kirahisi hivyo, haya tutashuhudia sana kwenye vyma vichanga kama CDM n.k siyo CCM.
 
Lowassa akiamia Chadema mi naamia ccm siwez kaa na mwivi

wenzako MBOWE na SLAA wanammezea mate huyo huyo mwizi ili wajifanye kumsafisha wakati kwenye list of shem ya Mwembeyanga walimuweka mbele kama tai. Siasa bwana, leo wanasema CCM walimuundia zengwe.
 
Lowassa sijawahi kumsikia akiisema CDM vibaya. Anaweza kujiunga CDM.

Katika siasa yote yawezekana
 
Siku ambapo lowasa atajiunga na chadema, nitajiunga rasmi ccm! Siwez kuwa chama kimoja na fisadi papa kamwe!
 
Back
Top Bottom