Huyo nae kapewa nafasi ya kuteuliwa na Rais au utani?Ujue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..
Nipo mkuu... kama unaweza niambie ni kesi gani zinazoendelea kwenye hiyo mahakamani.Ulikuwa haupo nchini au nini au umetoka usingizini??????
unatatizo la kisaikolojiahilo swali ungemuuliza Lowasa pesa za kumiliki vodacom amepata wapi
Pumb.avu kabisa,unauliza ilipataje ili iweje?Yaani mimi nikitawa na mahindi yangu utanipangia nimpe nani anisaidie kuuza?Na una haki gani kumuuliza anayeniuzia mahindi yangu alipataje hiyo kazi?Alphatel ilipataje mkataba wa kugawa vocha Vodacom?
Kwa hiyo unamfaham laki si pesa ni nani humu mweUjue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..
Umeambiwa hamilki vodacom anaiuzia vochahilo swali ungemuuliza Lowasa pesa za kumiliki vodacom amepata wapi
Twende kwenye hoja wezi wa airtel kwanzaMi naona ni kinyume chake! Leo unaambiwa fisadi, yupo katika list of shame, kesho mgombea urais. Leo Nyalandu mwizi, kesho shujaa, Jana Nape takataka Leo eti shujaa. Upinzani eti una vichwa, wakija kutoka ccm ndio wanakuwa wagombea na kushika hatamu. Upinzani kuna wasomi, lakini hawafahamu kuwa chairman mtuhuru hats kidato cha nne hajamaliza. Viongozi karibu wrote Wa upinzani waliokuwepo 2009 wamehamia CCM isipokuwa Mbowe, sasa sijui upinzani wana uhakika gani waliopo sasa hawatahama. Chama kimoja kimeondokewa na Makamu Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu, viongozi Wa nazfa zote za juu katika vijana wamejiuzulu madiwani wabunge wamejiuza, wenye akili hawana uhakika waliobaki kama hawatajiuza, wala watakaowachagua kama hawatakuwa nao madada poa lakini wamo tu, kweli unahitajika uchizi uwaamini wapinzani Wa aina hii
Alphatel ilikuwepo nyakati hizo za biashara motomoto ya mawasiliano kwa njia ya simu za mkononi kama msambazaji mkubwa wa huduma kama vocha, matangazo ya makampuni za simu za mkononi hasa mabango makubwa barabarani n.k..........usikate ndugu. Watu wakiletaga kitu humu ujue tayari wanaclue flani. Na haikuwa ikihudumia voda tu!kwamba Vodacom nayo ni ilikuwa ya serikali idiots
TUPATIE HIYO HABARI...HATUTAKI HISIA HAPA NA CHUKI ZA KIJINGA !Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Kwa sasa linalo endelea ni la Airtel na Ttcl hilo la voda subiri kwanza.Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
la airtel na ttcl ndio limeshaisha hilo unadhani kuna kingine utakachosikia tena?sikia? au hii nchi huijui....makinikia unasikia tena? vichwa ya treni unasikia tena? zile gari zilizokamatwa bandrin unasikia tena?...hiyo ya airtel ndio imeshaisha hutasikia chochote tenaKwa sasa linalo endelea ni la Airtel na Ttcl hilo la voda subiri kwanza.
Awali ilikuwa kampuni ya nani?ndio hivyo sasa alijimilikisha kinyemela
Dah!! Ila natamani kusikia kuwa la ttcl limeisha kwa ttcl kuichukua Airtel.la airtel na ttcl ndio limeshaisha hilo unadhani kuna kingine utakachosikia tena?sikia? au hii nchi huijui....makinikia unasikia tena? vichwa ya treni unasikia tena? zile gari zilizokamatwa bandrin unasikia tena?...hiyo ya airtel ndio imeshaisha hutasikia chochote tena