Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

Alphatel ilipataje mkataba wa kugawa vocha Vodacom?
Mbona swali la kiaina sana hili...
Kama kampuni mbili binafsi zikikubaliana kupeana zabuni (kazi) zinakatazwa?!

Nataka pia nifahamu.. Vidacom, Alphatel na serikali kuna uhusiano gani?!
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Kwa hiyo voda nayo imeokotwa!?
 
Lowassa wala hausiki na vodacom.huyu mleta mada ni mpika majungu mkuu nina hakika asilimia zote lowassa hausiki na vodacom.
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo

Hii nchi hapa ilipo ni pabaya kuliko kabla ya uhuru!! Unafiki na majungu ndo tunu tumeamua kujivika kama falsafa yetu kuelekea nchi ya viwanda! Nchi imekosa dira, na wameamua kufanyia kazi mambo ya umbea tu. Imagine raisi anasema kuna dola bil moja zimekamtwa, kumbe ni mil moja tu. Na watz wengi wanapenda umbea kama mleta mada! Kulikua na haja gani kuleta hii mada na huna lolote unalolijua? Na je unatofauti gani na mwananmke anaecha kazi zake na kuanza kuzunguka nyumba za watu akisaka umbea?
 
Mnataka kumuundia zengwe tu mzee wa watu ili naye akanyage pale Kisutu. Maana ndiyo zenu ccm kuwasumbua watu.

Tangu muanze kuibua tuhuma nzito za uhujumu uchumi na ufisadi ni nani amefungwa?? Wooote wanashinda. Mnakurupuka mno.

Meno ya mbwa hayaumani!
 
Hii nchi hapa ilipo ni pabaya kuliko kabla ya uhuru!! Unafiki na majungu ndo tunu tumeamua kujivika kama falsafa yetu kuelekea nchi ya viwanda! Nchi imekosa dira, na wameamua kufanyia kazi mambo ya umbea tu. Imagine raisi anasema kuna dola bil moja zimekamtwa, kumbe ni mil moja tu. Na watz wengi wanapenda umbea kama mleta mada! Kulikua na haja gani kuleta hii mada na huna lolote unalolijua? Na je unatofauti gani na mwananmke anaecha kazi zake na kuanza kuzunguka nyumba za watu akisaka umbea?
sio umbea mkuu tunainyoosha nchi ....
 
Ujue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..
Tuanzie hapa mkuu. Hisa kwa viettel zikoje aise? Na nani wabia? Naona safari hii tutafika salama maana tumepanda gari...
 
Sawa

Hakuna aliekataa tuonyeshe huo wizi wa Lowassa!!vijana wa Lumumba mmebakiza akili za kwendea msalani tu ndagu ya magufuli imewakamata vilivyo
hilo swali ungemuuliza Lowasa pesa za kumiliki vodacom amepata wapi
 
Vyombo vya dola vilikuwepo,serikali ilikuwepo lakini vilikaa kimyaaa!!!!,
Lowassa alijimilikisha makampuni hayo akiwa ccm vyombo vya dola vilikaa kimyaaa!!!!
amehama Nyalandu anaitwa fisadi,anahama Lowasa anaitwa ametufilisi(nahisi ndani ya ccm nimchezo wenu)
katika nchi yenye chama makini na viongozi makini Viongoz hawa wangechunguzwa,wangepelekwa mahakamani leo ccm inaendesha propaganda tu kama ilivyoendesha kwa Dr.slaa kuwa tapeli alikwapua hela kwenye kanisa ,leo ccm inamuona hawezi kukwapua hela kule Ubalozini?
ZAMA ZA PROPAGANDA ZIMEKWISHA ,CCM TAFUTENI MANENO MENGINE!!!!!!
 
Kuwa mwanaccm inahitaji uwe mlemavu wa akili kiasi.

Mi naona ni kinyume chake! Leo unaambiwa fisadi, yupo katika list of shame, kesho mgombea urais. Leo Nyalandu mwizi, kesho shujaa, Jana Nape takataka Leo eti shujaa. Upinzani eti una vichwa, wakija kutoka ccm ndio wanakuwa wagombea na kushika hatamu. Upinzani kuna wasomi, lakini hawafahamu kuwa chairman mtuhuru hats kidato cha nne hajamaliza. Viongozi karibu wrote Wa upinzani waliokuwepo 2009 wamehamia CCM isipokuwa Mbowe, sasa sijui upinzani wana uhakika gani waliopo sasa hawatahama. Chama kimoja kimeondokewa na Makamu Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu, viongozi Wa nazfa zote za juu katika vijana wamejiuzulu madiwani wabunge wamejiuza, wenye akili hawana uhakika waliobaki kama hawatajiuza, wala watakaowachagua kama hawatakuwa nao madada poa lakini wamo tu, kweli unahitajika uchizi uwaamini wapinzani Wa aina hii
 
Mi naona ni kinyume chake! Leo unaambiwa fisadi, yupo katika list of shame, kesho mgombea urais. Leo Nyalandu mwizi, kesho shujaa, Jana Nape takataka Leo eti shujaa. Upinzani eti una vichwa, wakija kutoka ccm ndio wanakuwa wagombea na kushika hatamu. Upinzani kuna wasomi, lakini hawafahamu kuwa chairman mtuhuru hats kidato cha nne hajamaliza. Viongozi karibu wrote Wa upinzani waliokuwepo 2009 wamehamia CCM isipokuwa Mbowe, sasa sijui upinzani wana uhakika gani waliopo sasa hawatahama. Chama kimoja kimeondokewa na Makamu Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu, viongozi Wa nazfa zote za juu katika vijana wamejiuzulu madiwani wabunge wamejiuza, wenye akili hawana uhakika waliobaki kama hawatajiuza, wala watakaowachagua kama hawatakuwa nao madada poa lakini wamo tu, kweli unahitajika uchizi uwaamini wapinzani Wa aina hii
Hahahahaha mpaka uote mkia
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Kwani Vodacom nao wanahusika na ttcl?
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Yaani wewe ni hovyo kweli! Wewe ndiye umeleta mada halafu unasema mwenye taarifa zaidi atoe. Kama mtu angekuwa nayo si angeshaandika. Tulia utafiti upate ukweli au taarifa za kitosha halafu ndiyo utupe hapa. Au ndiyo majungu yamekuwa mtaji siku hizi?
 
Back
Top Bottom