kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,078
Ulikuwa haupo nchini au nini au umetoka usingizini??????Hiyo mahakama ya mafisadi ipo hai kweli......kuna kesi yoyote inayoendelea hapo.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa haupo nchini au nini au umetoka usingizini??????Hiyo mahakama ya mafisadi ipo hai kweli......kuna kesi yoyote inayoendelea hapo.?
Kafanyaje kwani?Asipokwenda manji jela Mimi ninaamini hatakwenda tajili yoyote jela
Mfikisheni huko mahakamani acheni porojo.Akifikishwa court hiyo msije sema kaonewa kwa kua ni mchezaji wenu
Alijimilikisha toka wapi? Vodacom ilikua Mali ya serikali?Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Muwe na akili basi Vodacom ni 100pvt kwani hawalipi kodi? kama waliibiwa sisi yanatuhisu nini?Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Alphatel inamilikiwa na nani?....Vodacoma ni kampuni binafsi. Huwezi kujimilikisha hisa kinyemela.
Alphatel si kampuni tanzu ya Vodacom bali ni wakala mkuu au super dealer wa vodacom. Ana kandarasi ya kusambaza vocha nk.
Mtanzania pekee mwenye hisa Vodacom ni Rostam Aziz. Ana 17.5% baada ya kuuza hisa nyingine 17.5%.
Ujue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..
Inakuhusu nini wewe?Alphatel inamilikiwa na nani?....
As long as i know inamilikiwa na Lowassa familyAlphatel inamilikiwa na nani?....
Ujulishwe nini wakati wewe unajuwa kila kitu kilichobaki peleka hiyo taarifa yako takukuru I'll hatua unazozitaka zichukuliwe na hasa ukitilia maanani Mahakama ya uhujumu uchumi mmekwisha anzisha .Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
jibu swali Alphatel inamilikiwa na nani?Inakuhusu nini wewe?
ndio hivyo sasa alijimilikisha kinyemelaAs long as i know inamilikiwa na Lowassa family
Umegusa sehemu nyeti unahitaji usalamaWana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo