Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

Tetesi: Lowassa alijimilikisha hisa za Vodacom na Alphatel kinyume cha sheria?

Vodacoma ni kampuni binafsi. Huwezi kujimilikisha hisa kinyemela.

Alphatel si kampuni tanzu ya Vodacom bali ni wakala mkuu au super dealer wa vodacom. Ana kandarasi ya kusambaza vocha nk.

Mtanzania pekee mwenye hisa Vodacom ni Rostam Aziz. Ana 17.5% baada ya kuuza hisa nyingine 17.5%.
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Alijimilikisha toka wapi? Vodacom ilikua Mali ya serikali?
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Muwe na akili basi Vodacom ni 100pvt kwani hawalipi kodi? kama waliibiwa sisi yanatuhisu nini?
 
Vodacoma ni kampuni binafsi. Huwezi kujimilikisha hisa kinyemela.

Alphatel si kampuni tanzu ya Vodacom bali ni wakala mkuu au super dealer wa vodacom. Ana kandarasi ya kusambaza vocha nk.

Mtanzania pekee mwenye hisa Vodacom ni Rostam Aziz. Ana 17.5% baada ya kuuza hisa nyingine 17.5%.
Alphatel inamilikiwa na nani?....
 
Ujue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..

Wewe uko upande gani?
 
Maroboti ya Lumumba bwana,ttatizo wamepewa maagizo ya propaganda tu na kuandika upuuzi bila ya kutumia akili hata kidogo!!

Mahakama ya mafisadi itamfikisha lini kwa pilato aliyueuza nyumba za serikali zaidi ya 30000 kwa bei ya nyanya masalo tena uzunguni?!! Bado hatujauliza kile kivuko cha billion kadhaa ila mwendo wake kama guta na kuua maneno akakigawa jeshini eti mambo ya ulinzi hayahojiwi!!
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Ujulishwe nini wakati wewe unajuwa kila kitu kilichobaki peleka hiyo taarifa yako takukuru I'll hatua unazozitaka zichukuliwe na hasa ukitilia maanani Mahakama ya uhujumu uchumi mmekwisha anzisha .
 
Wana Jf.

Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Umegusa sehemu nyeti unahitaji usalama
 
Back
Top Bottom