laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
- Thread starter
- #61
Watanzania tuna hisa zetu tunazimiliki huko lazima tuhojiUjinga mkubwa! Vodacom ni kampuni ya serikali tangu lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tuna hisa zetu tunazimiliki huko lazima tuhojiUjinga mkubwa! Vodacom ni kampuni ya serikali tangu lini?
umesema vyema ndugu..Miaka 2 imeisha, tuko mwaka wa 3 sasa. Tunachokiona ni kuzuahiana na kuchafuana tu. Hiyo mtukufu ana frustrations hivyo hukurupuka tu.
Ana lengo zuri sana, lkn hana mbinu nzuri ya kuyafikia malengo hayo
Hilo TTCL na Airtel ni habari nyingine na inayojulikana.huku mitaani watanzania wengi wanajua kila simu unayopiga ya vodacom kuna pesa inaingia kwa Lowasa......hata AIRTEL ni kampuni binafsi mkuu
Hilo TTCL na Airtel ni habari nyingine na inayojulikana.huku mitaani watanzania wengi wanajua kila simu unayopiga ya vodacom kuna pesa inaingia kwa Lowasa......hata AIRTEL ni kampuni binafsi mkuu
watanzania tunajua vodacom ni ya lowasa na rostamHilo TTCL na Airtel ni habari nyingine na inayojulikana.
Kuhusu Vodacom, ni kampuni binafsi na wanahisa wake wakijulikana wazi. Kwani wewe unaamini Vodacom ni ya nani? Na nani aliibiwa?
Kumbe huna lolote unalojua bali kuwashwa washwa tu...na wala huelewi kuwa Alphatel si wamiliki wa hisa Vodacom bali ni wakala tu, stupidWana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Acha umbeya..nonpartisan!Wewe uko upande gani?
Namfahamu..na hajawahi kunijibu ushuzi! anajua namjua! siropoki! ana ID zaidi ya 4 moja ni verified!Mkuu huyu kapuku unmpa cheo kikubwa hivyoo?
Presidental appointee anafanya nn JF 24hrs?
Hakuna aliekataa tuonyeshe huo wizi wa Lowassa!!vijana wa Lumumba mmebakiza akili za kwendea msalani tu ndagu ya magufuli imewakamata vilivyowatanzania tunajua vodacom ni ya lowasa na rostam
Akili za magufuli hizo hajui chochote kuhusu biashara kila mwenye hela mwiziKumbe huna lolote unalojua bali kuwashwa washwa tu...na wala huelewi kuwa Alphatel si wamiliki wa hisa Vodacom bali ni wakala tu, stupid
Ila wa magufuli ni hatari kuhonga demu nyumba ya serikali zamu yake yaja 2020 nakipengele cha kinga ya raisi kitakuwakishafutwaMsumeno unakata mbele na nyuma...Fisadi lazima anase
Hoja HAPA SIO CDM KUTOKUTAKA. NI KWELI CDM WASINGETAKA KUONA WANA MTU MWENYE KASHFA ANAYECHAFUA CHAMA CHAO.Cdm hawataki kusikia maneno kamahayo,ngoja wake u
Sasa kama huna taarifa uzi umeanzisha wa nini au mbao zimekaza?Wana Jf.
Wakati mambo juu ya sintofahamu ya nani mmiliki halali wa Airtel likiendelea kupamba moto kuna habari kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa waziri kwa kujimilikisha kinyemela hisa za Vodacom na kummilikisha mtoto wake Freddy kampuni tanzu ya Vodacom Alphatel kinyume cha sheria. Mwenye taarifa zaidi atujulishe hili bomu litalipuka muda si mrefu kuna watu wataburuzwa Segerea mahakama ya mafisadi itakuwa bize sana siku chache zijazo
Dah kumbe unamjuaUjue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..
Hebu somo comment yako ujitafakariCdm hawataki kusikia maneno kamahayo,ngoja wake u
Kama kweli hiyo ni mteule wa Rais wanastahili kuachia ngazi au kutumbuliwa kwani anachokifanya ni kupingana na Rais dhahiriUjue mtoa mada kwa nafasi yako ya "Presidential appointee" hupaswi kuleta vitu cheap kiasi hiki! ni wivu huo huo kwa EL uliomfanya m/kiti mstaafu kumuonea wivu kisa alikua anaingiza $400000 per day ndio yeye akaja na "viettel" ..acheni ufyolo..