Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

Hapa itakuwa mkuu wa kaya Kapata kiwewe kwa yale EL atakayomwaga ikabidi amtumie simu haraka na kumhakikishia kwamba Nec ijayo haina ajenda ya kumvua gamba. Tena atakuwa amemwambia huoni jinsi ambavyo nimekisogeza kikao cha nec na cc ili kuhakikisha naondoa hilo wazo la gamba?. Itakuwa amemweleza kuwa nina mpango wa kukisogeza kikao hicho cha nec mpaka baada ya kikao cha bunge cha November kukwepa maamuzi kujadiliwa ndani ya bunge. Na atakuwa amemalizia kwa kusema, Sii unajua usanii ni fani yangu? Na kwa huo tunawaburuza wabongo.
Ha ha haa simu hii imefuta yote aliyotaka kusema EL. Ila namsikitikia kwakuwa atakuja kuyasema akiwa keshavunjwa miguu ndani ya ccm.
.
 
kaongea bila mpangilio wala mtiririko unaotakiwa.......hakika hakusema lolote lile la maana...ngoja niipitie taratibu halafu niitundike maana amekubali kutudanganya....
 
upuuzi mtupu. aende zake huko na leo ndo amejichimbia kaburi la siasa za bongo. Go to HELL LOWASA
 
Haya yaliulizwa hapahapa, ndo tukamwambia aulize vilevile. Did you present your Geneva issue mkuu?

Kuna mpya ambayo inashangaza, naogopa hata kuiweka hapa kwa sasa! Totally unexpected

sijaelewa.. na wapiganaji huwa waoga? invisible vipi bwanaee.. achia waya.. ukishajivika mabomu usiogope upepo.. itoe.. utatupa na sisi nguvu za kutoa zaidi..
 
mbona huwa anarudia tu kuwa hajakutana na jk barabarani na hasemi walikutana wapi?
 
Haya yaliulizwa hapahapa, ndo tukamwambia aulize vilevile. Did you present your Geneva issue mkuu?

Kuna mpya ambayo inashangaza, naogopa hata kuiweka hapa kwa sasa! Totally unexpected


kwa hiyo invisible unataka kusema huu uzi ulionifikia sasa hivi saa nane kamili usiku saa za huku niliko nisiuweke hapa?? au ndo huo na wewe umeupata unaogopa?? mwongozo plz
 
sijaelewa.. na wapiganaji huwa waoga? invisible vipi bwanaee.. achia waya.. ukishajivika mabomu usiogope upepo.. itoe.. utatupa na sisi nguvu za kutoa zaidi..

Invisible aliwahi kuachia waya wa Shimbo halafu akaishia kutuacha hewani.
 
Wakuu,

Lowassa kaondoka hapa Monduli muda si mrefu na inasemekana kaitwa Ikulu.

Alichoongea hakikuwa kwenye mpangilio unaoeleweka na imezidi kushangaza kuona anaondoka mida hii. Tunafuatilia tutawafahamisha zaidi
 
Wakuu,

Lowassa kaondoka hapa Monduli muda si mrefu na inasemekana kaitwa Ikulu.

Alichoongea hakikuwa kwenye mpangilio unaoeleweka na imezidi kushangaza kuona anaondoka mida hii. Tunafuatilia tutawafahamisha zaidi

Hii nayo ni thread jamani?
 
Haya yaliulizwa hapahapa, ndo tukamwambia aulize vilevile. Did you present your Geneva issue mkuu?

Kuna mpya ambayo inashangaza, naogopa hata kuiweka hapa kwa sasa! Totally unexpected

Mkuu usiweke roho juu heri usingesema kuna mpya.
Tunaomba hiyo mpya mkuu ............ keep up JF, keep update the forum thx.
 
Jamaa anapenda sifa ni msanii tu ulitegemea aseme nini ?Yaani mtu mzima haya ndiyo maongezi ? No wonder akina Ngoda wana akili zile zile .
 
Haya yaliulizwa hapahapa, ndo tukamwambia aulize vilevile. Did you present your Geneva issue mkuu?

Kuna mpya ambayo inashangaza, naogopa hata kuiweka hapa kwa sasa! Totally unexpected

Duh! yaani huyu jamaa ndiyo anawatisha CCM kila siku na hivi ndivyo anavyopresent hoja zake? He missed this opportunity, many Tanzanians home and abroad had their ears up to hear something new, original, bold from a man we have alwayz been annoyed with his ambitions. Ni bora angeahirisha huo mkutano maana inaonekana hata RA ambaye hana ambition za uraisi is alwayz prepared na mikutano yake na waandishi.

Lowasa kumbe naye ni yale yale makubwa ya Rostam Igunga hhahahaha ahahahahaha!!!!!!!!!! kweli Tanzania zaidi ya uijuavyo.........The guy is cheap, coward, a myth. Yaani watanganyika mnatishwa na Lowassa kila siku kumbe ndiyo huyu. At this point in time hii ni bonge ya miscalculation politically. He will never ever be taken seriously again. Yaani anawaringishia watanzania jinsi alivyofahamiana na JK? What a lowly move? Is this guy a kinda of a leader watanzania mnamuhitaji baada ya JK?
 
What a shame? I thought busara zinaambatana na mnvi? i was fooled na zile hekaya za utotoni. I will have to protest this kwa bibi yangu. Poor Lowassa/nation. asante mkuu Invisible kwa taarifa. Wengine tuko mashambami tunapalilia machugwa yetu hapa.
 
Mabaya ya JK hayajui, kwani nani alimuambia ataje mabaya ya JK? huyu Edu vipi? Ajivue gamba tu, hiyo ndio falsasa ya chama cha magamba!
 
sasa nimejua kwa nini amesema kuwa maswala ya richmond atayaongelea wakai mwingine...ni hivi kuwa kuwa alichokisema ni tofauti na kile ninachokiona hapa..anataka kwenda kwanza kwa jk ili ahakikishiwe kuwa yu salama...na kama hataridhika nahisi ndo atakuja kuisoma hotuba yake hii.....
 
mbona huwa anarudia tu kuwa hajakutana na jk barabarani na hasemi walikutana wapi?
Nimekuwa nina jiuliza ni kwa nini Lowassa anaendelea kurudia hayo maneno wakati ni wazi JK kasha mtema...Labda anatudokezea chochote kinachonihusu mimi pia kina muhusu JK kama Richmonds tupo wote.
 
Back
Top Bottom