Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

Wanafunzi wanakufaaa wakiwa wanasoma ,wajawazito wanakufaa wakiwa wanajifungua ,watoto hawajafikisha umri wa miaka mitano. Wanakufa wasiotarajiwaa kufa wakiwa buheri wa Afya ,umauti Ni popote Pale ndugu yangu, huna pakujikimu siku yako itakapofika ,Watoa hoja juu ya leigwanan kwamba Ni mgonjwaaa Wote Ni mapunguani wasio na uwezo wa kujifikirisha hata chembe
Hakuna Aliyeagana na mungu ,EDWARD lowassa ndiye chaguo la wengi ,mwenye maamuzi magumu na sahihi ,tunampendaaa tutampaaaa Kura
 
Shida ya Lowasa mwenendo wake siyo mzuri ni mwizi na roho mbaya mpenda visasi kwa watu aliowahi kukosana nao.

Hapa umenena kinyume kabsa ! Tabia za membe unazihamishia kwa Lowasa ? Kwani zile Pesa za marehemu Gadafi alizificha Lowasa? Je? Yule Barozi wa Libya aliyejiua ni nani alimpiga Kipapai? Kumbuka Baba yako Membe kamwaga pesa nyingi ili Lowasa achefuliwe Mtandaoni akidhani ni njia sahihi ya kumpeleka ikulu kumbe amebug , nenda kamwambie Kuwa Nchi hii watu wameamka sasa hata akigawa pesa kila kona hawezi Kuwa Rais kwani dhambi ya kuwachafua web zake kwenye mtandao inamwandama.
 
Hapa umenena kinyume kabsa ! Tabia za membe unazihamishia kwa Lowasa ? Kwani zile Pesa za marehemu Gadafi alizificha Lowasa? Je? Yule Barozi wa Libya aliyejiua ni nani alimpiga Kipapai? Kumbuka Baba yako Membe kamwaga pesa nyingi ili Lowasa achefuliwe Mtandaoni akidhani ni njia sahihi ya kumpeleka ikulu kumbe amebug , nenda kamwambie Kuwa Nchi hii watu wameamka sasa hata akigawa pesa kila kona hawezi Kuwa Rais kwani dhambi ya kuwachafua web zake kwenye mtandao inamwandama.

Haswaaa, umeongea kaneno ka maana.
 
Naomba mungu anisamehe lowasa sitaki hata kumsikia mzee mchafu sana.

Mchafu ni Boss wako anayekutuma hivi haujiulizi kwa nini Membe haendi kijijini kwao kuweka maendeleo kwa kuzitumia Zile pesa za marehemu Gadafi alizokwapua badala yake kawekeza kwenye kumchafua Lowasa tu, huku ndugu na jamaa zake wakiwa na Dhiki kubwa yeye kaficha pesa kwenye mahandaki Akiwa na Matumaini ya kuzitumia kununua Haki za watu.
 
Wanafunzi wanakufaaa wakiwa wanasoma ,wajawazito wanakufaa wakiwa wanajifungua ,watoto hawajafikisha umri wa miaka mitano. Wanakufa wasiotarajiwaa kufa wakiwa buheri wa Afya ,umauti Ni popote Pale ndugu yangu, huna pakujikimu siku yako itakapofika ,Watoa hoja juu ya leigwanan kwamba Ni mgonjwaaa Wote Ni mapunguani wasio na uwezo wa kujifikirisha hata chembe
Hakuna Aliyeagana na mungu ,EDWARD lowassa ndiye chaguo la wengi ,mwenye maamuzi magumu na sahihi ,tunampendaaa tutampaaaa Kura

Wale wote wanaopakaza Uongo kuwa Lowasa ni Mgonjwa akina Dialo, membe na Timu yake ya akina Kigwangala na wenzao wasidhani wao ni MUNGU hawawezi kuugua mwaka 2015 bado ni Mbali sana mda wowote Mungu hapendi Tabia ya kumpakaziana Maradhi anaweza kutoa Adhabu huko kwenye Michepuko ya Akina Dialo wakakumbana na HIV na wengine Pia wanaweza kuugua chochote, Ugonjwa hauna Hodi mda wowote unakuja tu.
 
Huu mchezo wote unaratibiwa na Membe kwa kuzitumia pesa za marehemu Gadafi alizokwapua na kuzificha kwenye handaki akiogopa kuzipeleka Benk kwani anajua Walibya watazikamata na kumpeleka mahakama za kimataifa,hizo pesa sasa akina Dialo , kigwangala, mwandosya,Sita na wengine wanazitolea macho wamepokea mgao kidogo lakini bado wanataka zaidi ili angalau ziwasaidie kupambana na Lowasa kila mgombea wa Urais Adui wake ni Lowasa tu kwani Ndio tishio
 
Wahenga walisema 'ndege wafananao huruka pamoja'. Kwa urafiki wao;kwa tabia zao;kwa historia zao na mategemeo ya wananchi juu yao,Lowassa na Rais Kikwete ni copy and paste. Ndani ya CCM,Urais hufuata foleni. Sasa ni zamu ya Lowassa.

Kama wananchi wamependezwa na uongozi wa Rais Kikwete,Lowassa atashinda. Vinginevyo,Lowassa atakula mweleka mkuu. Ndiyo kusema performance ya Rais Kikwete itambeba au kumwangusha Lowassa. Sifa zake safi na chafu zitakuwa nyongeza.

Kwa maneno mengine,kumchagua Lowassa ni kama kumuongezea muda wa madaraka Rais Kikwete.

Ni mimi tu kuwaletea habari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Kwa ujumla ccm hakuna msafi, wanazidiana viwango tu vya ufisadi, wizi na rushwa.
 
Wahenga walisema 'ndege wafananao huruka pamoja'. Kwa urafiki wao;kwa tabia zao;kwa historia zao na mategemeo ya wananchi juu yao,Lowassa na Rais Kikwete ni copy and paste. Ndani ya CCM,Urais hufuata foleni. Sasa ni zamu ya Lowassa.

Kama wananchi wamependezwa na uongozi wa Rais Kikwete,Lowassa atashinda. Vinginevyo,Lowassa atakula mweleka mkuu. Ndiyo kusema performance ya Rais Kikwete itambeba au kumwangusha Lowassa. Sifa zake safi na chafu zitakuwa nyongeza.

Kwa maneno mengine,kumchagua Lowassa ni kama kumuongezea muda wa madaraka Rais Kikwete.

Ni mimi tu kuwaletea habari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

uzushi na unafiki mtupu
 
Subiri nkaoge kwanza kisha nikirudi nisome kwa mara nyingine nadhani ndo ntaelewa dhana yako mkuu.
 
Jazba baba, Mwezio kaandika kwa uwezo wa ubongo wake, sasa nawewe hapo ndo mwisho wa ubongo wako kabisa?

nadhani uwezo wako wa kufikiri hautofautiani sana na wa mleta uzushi ndio mana umekasirika
 
Back
Top Bottom