Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Uongo sio mzuri, Leo haikuwa ratiba ya geita ila mamia ya wanageita walikuwa wanamsubiri ikalazima chopa ishuke ili akawasalimie na akawaambia atakuja siku iliyopangwa

Lissu anasema kulikuwa na maandalizi mabovu ya mkutano, spika zilikuwa na matatizo. Wewe unasema leo haikuwa ratiba ya Geita na ndio sababu mkutano kupigwa tarehe!!! Pengine ni vema mngekubaliana humo ndani ili mkitoka nje mje na 'ngonjera' inayofanana!

Mapumziko mema Dr Slaa!
 

Ahhhhhhh.... Michael Jackson ! Miundombinu ya vyombo vya mawasiliano!!!
Balantanda
 

Hatuna muda mrefu tutaelewa sababu ya James Mbatia kukutana na waandishi wa habari usiku usiku! 'vifaa vya mawasiliano!
 
Nimeangalia ITV. Spika ndo zilikua na shida, na lowasa pia alijaribu kuongea, spika zikazingua

Hili ndio tatizo lenu kila siku,, maswali magumu majibu yenu huwa mepesi mpaka napata wasiwasi na umri na vichwa vya baadhi yenu eti "spika" mko serious kweli na dola mnaitaka kirahisi hivi??? yaani speaker zinafanya rais wenu ashindwe kuongea na wananchi??? mlikuwa wapi mapema kutojua hizo speaker ufanyaji wake wa kazi?? Muwe serious kidogo mueleweke,,,
 

Na sisi wapenzi na mashabiki wa ukawa mtatuambia nini sasa kama mlihubiri hili kwa zaidi ya miaka miwili na miezi minne iliyopita halafu leo mnatuambia huyu ndiye shujaa????
 
Hatuna muda mrefu tutaelewa sababu ya James Mbatia kukutana na waandishi wa habari usiku usiku! 'vifaa vya mawasiliano!

Mkuu hebu tumegee maana mkutano huo wa Mbatia wa usiku wa manane ulinishtua sana. Nikajua kuna jambo kubwa behind the scenes! Na itakuwa related kwa incident hii ya Geita si bure!
 

Pamoja na yote unatakiwa uangalie ratiba ya Lowassa uone kama mkutano wa Geita ulikuwa rasmi au si rasmi kwa Lowassa.
 
Nasikia Kingine kilichomkwamisha huko Chantou na kumfanya achelewe ni kumkabidhi wheelchair pamoja na gari dada yake na mpinzani wake ambae alitelekzwa kwa muda mrefu akijiburuza chini.Nasikia watu walimng'ang'ania EdLowa aende akaonane na huyo dada ambae ni ndugu wa makomeo ili aelezwe unyama wa makomeo kwa ndugu zake likiwemo suala la kuwazurumu ndugu zake nyumba pamoja na kumtelekeza dada huyo kiwete pasipo huruma.Nasikia hiyo ndio ilikuwa habari ya jana huko chantou.Je hizi nyepesi kuna aliyezisikia?
 
Fisadiiii ... Lowasaaaaa ..... Lowasaaaaa ....... Fisadiiiiiiiiii

 
Tunamchagua kichwa Lowassa hivyo alivyo hata mseme nini
 

Attachments

  • 1442462030415.jpg
    53.6 KB · Views: 249
Ccm saidia kujibu haya
 

Attachments

  • 1442462231931.jpg
    106.8 KB · Views: 224
Inasikitisha sana tutegemee kwingi na au tutegemee safari ya kampeni ya Lowassa kukatizwa ghafla wakati wowote.

Wanamchosha na hali yeye ni mgonjwa na madawa wanayo mu over dose yanamfanya ashindwe hata kuongea.

Unajuwa kuwa dawa ya ugonjwa alionao ni bangi> Sasa zikizidi dozi atakuwa anarudia maneno mara mia mia badala ya kumi kumi za sasa.

Saa nyingine nnamuonea huruma sana na saa nyingine nnasema "kiranga komo".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…