Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Kwa hiyo alieongea pale ni Lissu ni Lowassa.?

Na kama Lowassa alieongea alisikikaje wakati vyombo hivyo hivyo alisema vibovu.?
 

Wewe kharuni wa firauni, ninani aliyekupa kibri cha uzima kubatiza wengine umauti?!
 
Tutumie elimu yetu kuelimisha watanzania wenzetu. Tusitunge tunge vitu ambavyo havina elimu kwawatanzania wenzetu. Ugonjwa wamtu ahutusaidi ktk kipindi hiki tuelimishane kwakuangalia irani zavyama zinasemaje. Kunanchi nyingi marais wanachaguliwa wakiwa wagonjwa nawanafanya kazi nzr sana kuliko hao unaowaona ww wazima.
 
Utarudiwa lini?..

Mbona Lissu ameweza kuongea na akasikika??..

Kwa nini Lowassa ameshindwa hata kutoa salamu badala yake kumuachia Lissu kutoa maelezo yasiyojitosheleza...

Kuna tatizo...

Kuendelea kung'ang'ania kuwa kuna tatizo ni wewe mwenyewe tu. Thibitisha
 
Kila mtu kasikia ITV ,jukwaa halikuwa salama kwa mgombea kuhutubia
 
alikuwa amechoka jamani,wwaambie wavute subira,akiwa rais atakuja kuwahutubia....

Jana nilimuona wakati anashuka kwenye chopa anajikokota mno..tuache ushabiki mzee kachoka jamani
 
Magamba mengi yamejivua na kuhamia upanda wa pili
 
Wachaga nimeamini kwa pesa c 'mchezo yaani mwenzao anaumwa kiasi hicho lkn wanampelekesha tuu
 
CCM is full of fools, they think they can outsmart Mr.LOWASSA! Never!!!!!
 
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.
 
Kuendelea kung'ang'ania kuwa kuna tatizo ni wewe mwenyewe tu. Thibitisha
Sasa iweje vifaa vya mawasiliano vyenye matatizo Lissu aweze kuvitumia lakini Lowassa asivitumie?....

Maana shida ilianza tangu Chato sauti ilikuwa haitoki (Lowassa) akasema ni tatizo la vifaa vya mawasiliano.....Alivyofika Geita ndio ikawa shida....Ikabidi Lissu apande kutoaa sababu ambazo kimsingi hazikuwa na mashiko kwani vipaza sauti vyenye matatizo ndo hivyohivyo alivitumia kuomba kuahirishwa mkutano na vilikuwa vinasikika vizuri kabisa....
 
Lowassa ameshindwa kusema alisahau kila akikumbushwa wapi kashindwa kusema zaidi ya ccm oyeee
 
Kwa nini CHADEMA wameshindwa kuaandaa vizuri mkutano huko Geita. Serikali wataiweza kweli?
 
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.
Duh....

Hii kali sasa....Haaikuwa ratiba yao???....

Mbona Mbogwe, Bukombe na Chato mikutano imefanyika?...

Too low!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…