Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Aliongea kidogo ila mike ziligoma inaonekana maiki hazikuaminika kiusalama hakutaka kuzisogeza sana mdomoni
 
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.

We Ni Mpumbavu Na Ni Lofa Waulize Wenzako Watakwambia Sio Unakuja Kusema Kitu Usichokijua!Sasa Kama Haikuwa Kwenye Ratiba Sasa Kwanin Lissu Atoe SAbabu Za Kuhairisha Mkutano Geita?
 
Mungu ameamua kumtumia LOWASSA kuiondoa CCM, hakuna namna nyingine! LOWASSA anatosha!!!!
 
Kwa hatua aliyofikia lowassa asiwe anaongea awe anapunga tu mikono ...maana wananchi walishamkubali awe rais wao 2015
 
ITV ...Shamra shamra za mapokezi zasababisha mgombea uraisi wa chadema kupitia ukawa kushindwa kuhutubia geita
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..

utakufa wewe,acha upuuzi,hujui kwamba apandacho mtu ndicho anachovuna,
Lowasa Hakushindwa kuongea kwa sababu za kiafya,Bali,ni maandalizi duni,shamrashamra na wingi wa watu,,
Mbona Baada Ya hapo Alihutubia maelfu ya watu CHATO,KWA MAGUFULI.
MWAKA HUU HYENA/FCM,CCM MTAWEWESUKA SANA,
LOWASA RAIS WETU AWE KTK HALI YOYOTE ILE,NI CHAGUO LA MUNGU,NI CHAGUO LETU!
 
Hawajaambiwa wakaangalie hotuba kwenye website ya chama?

We naye ni mshambenga! Kama mbwa koko vile..

Lowassa asiseme kitu, ng'ong'ong'o

Website ya chama, si afadhali yeye alisema website ya chama! Huyo magufuli anajua hata website ninini?

We nanihii nini?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Atoe hotuba ana nini cha kizungumza? Wakati mwingine muwe mnachagua topic za kuanzishia thread, mnaudhi sana!
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..

mburura
 
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.

Maandalizi ya Mtu anayehutubia dakika 5.....???

Wanaandaa nini??
 
mkuu unajua huyu jamaa walivyo mkata dodoma wakajua wamemuweza...sasa nya inagonga .........
alilo panga mungu wawo na kamatii kuu mara sijui nec hawawezi kulizuia...sasa mnakuwa wapinzani very soon. na-imagine bungeni akina mchemba, watakuwaje jamanii.

Huyo Mungu aliepanga unachokiunga mkono ana matatizo makubwa sana. Im just saying!
 
We naye ni mshambenga! Kama mbwa koko vile..

Lowassa asiseme kitu, ng'ong'ong'o

Website ya chama, si afadhali yeye alisema website ya chama! Huyo magufuli anajua hata website ninini?

We nanihii nini?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Punguza jazba mama.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..

Dual la chura halimpati mwewe
 
Back
Top Bottom