james katto
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 385
- 128
Eli yako wewe uliyemzima,mzinzi koma kumnyoshea kidole mwizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lizaboni kaka za siku? Vipi upo? Mbona kimya sana?Team mafidadi wanahangaika ili kujiokoa na jela ya Magufuli
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
Hawajaambiwa wakaangalie hotuba kwenye website ya chama?
Mungu ameamua kumtumia LOWASSA kuiondoa CCM, hakuna namna nyingine! LOWASSA anatosha!!!!
kumbe ni kweli nmechek habar sasa wanaotukana na kutokwa na mapovu humu nkajua mtoa mada kadanganya kumbe kweli
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
Sio kweli. Loh! Kudanganya watu tu. Haikuwa ratiba yao ya campaign huko Geita,ndo maana wamewaahidi kurudi tena. kwasababu maandalizi hayakufanyika.
mkuu unajua huyu jamaa walivyo mkata dodoma wakajua wamemuweza...sasa nya inagonga .........
alilo panga mungu wawo na kamatii kuu mara sijui nec hawawezi kulizuia...sasa mnakuwa wapinzani very soon. na-imagine bungeni akina mchemba, watakuwaje jamanii.
Wamejisahau kumuongezea chaji
Mungu ameamua kumtumia LOWASSA kuiondoa CCM, hakuna namna nyingine! LOWASSA anatosha!!!!
We naye ni mshambenga! Kama mbwa koko vile..
Lowassa asiseme kitu, ng'ong'ong'o
Website ya chama, si afadhali yeye alisema website ya chama! Huyo magufuli anajua hata website ninini?
We nanihii nini?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..