Hawkins
Member
- May 23, 2015
- 58
- 11
hivi na wewe ni binadam??
Ni zaidi ya binadamu kwani ni dawa ya kutibu wagonjwa kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi na wewe ni binadam??
Hii mi sijaipenda hata kidogo. Mkutano unahairishwa kwa sababu ya eti mfumbo wa sauti haukuwa mzuri?!!!! Furaha yangu ya kuanzia asubuhi imekata gafla.Duh....
Hii kali sasa....Haaikuwa ratiba yao???....
Mbona Mbogwe, Bukombe na Chato mikutano imefanyika?..
Too low!
Kila mtu kasikia ITV ,jukwaa halikuwa salama kwa mgombea kuhutubia
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
We ni chakubimbi! Mama Regina anasema mumewe yuko fiti! Tukuamini wewe au yeye?Mtalaaniwa kumtumikisha yule mzee.
Kachoka mno hadi huruma.
Kwa nini CHADEMA wameshindwa kuaandaa vizuri mkutano huko Geita. Serikali wataiweza kweli?
Tukutane oktoba 25, sina muda wa kujibizana na mashankupe yasiyojitambua!Anatosha Ndiyo Tena Sana Kwenye Ufisadi...Anafaa Kuwa Rais Wa Mafisadi Na Sio Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania...
Lizaboni kaka za siku? Vipi upo? Mbona kimya sana?
We ni chakubimbi! Mama Regina anasema mumewe yuko fiti! Tukuamini wewe au yeye?
Sasa mbona anashindwa kuhutubia Chifu?..
Nini tatizo hasa?...Maana sababu alizotoa Lissu ni za hovyo kabisa...Yaani Lowassa ameshindwa hata kuwasalimu wananchi waliojitokeza kumuona Geita!!...
So sad!!...
Tukutane oktoba 25, sina muda wa kujibizana na mashankupe yasiyojitambua!
Anatosha Ndiyo Tena Sana Kwenye Ufisadi...Anafaa Kuwa Rais Wa Mafisadi Na Sio Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania ...
Pamoja na maandalizi mabovu alihutubia kidogo na kuahidi kushughulikia wachimbaji wadogo wadogo kwa kuwatengea maeneo yao.Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
We ni chakubimbi! Mama Regina anasema mumewe yuko fiti! Tukuamini wewe au yeye?