DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Magufuli sauti kwisha kigoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:smokin:..IHI KITU MBAYA SANA. NDIYO MNAPEWA ALAFU MNAKUJA KULETA PROPAGANDA ZENU HAPA. LOWASSA KAHAIRISHA MKUTANO KUTOKANA NA ITILAFU ZA VYOMBO VYA MATANGAZO. MTAANGAZIKA MWAKA UHU.
[h=2][/h] Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.
Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.
Kama ni za uongo kwanini waziulizia?!Lizaboni sio bure ww taarifa zako za uongo siku hz vp? Kimya
baada ya kuona thread za ukawa kujaa, mnaanzishaa upuuzi ili watu wa reply, hatupotez mdaa
Aliwezaje kuhutubia Chato nusu saa baadaye?
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
[h=2][/h] Hatimaye mgombea urais ashindwa kuhutubia kutokana na tatizo la ugonjwa linalomkabili, inasemekana hali yake ilibadilika ghafla ikabidi waahirishe mkutano ili kupunguza aibu kwa wanachama.