Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Nina uhakika 100% kuwa LOWASSA ndiye Rais ajaye! Matokeo ya uchaguzi kinyume na haya! Bora Nchi ilipuke tu! Tuko tayari kwa mapambano!
Kazi ipo,huu uchaguzi upite tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uhakika 100% kuwa LOWASSA ndiye Rais ajaye! Matokeo ya uchaguzi kinyume na haya! Bora Nchi ilipuke tu! Tuko tayari kwa mapambano!
Unachanganya mambo...ITV hawajaonesha Geita Lowassa hajazungumza...Alipozungumza Spika zikaleta shida ni Chato.Nimeangalia ITV. Spika ndo zilikua na shida, na lowasa pia alijaribu kuongea, spika zikazingua
Lowassa ata akifa tutapigia kula jeneza lake
Nah.....Kwa nini mnamuogopa Lowassa,tulieni awanyoe
hizo ni fikra zako mkuu na ninaziheshimu kwa kutumia kipengere cha democrasia ichukue mkondo wake...kupishana kimtazamo ni muhimu katika ujenzi wa nchi...nivyema mkajiandaa kuikosoa serikali ya lowassa iliiwaboreshee maisha kuliko sasa.
Unakosea Chifu...Naona watu wa ccm wawili hapa jf wanajitahidi kwenye comments kupambana na nyomi ya Team lowasa. Hamtaweza
Kwani Wewe Ndugu Yangu Mzalendo Unamdefine Vipi?Au Mzalendo Ni Yule Aliyesema Fisadi!Fisadi!Fisadi! Nchi Nzima Ikamuelewa,Leo Hii Yule Yule Anakataa Kile Alichokisema Na Kutaka Tena Kuwaaminisha Watanzania Kitu Opposite Na Kile Alichowaaminisha?Au Mzalendo Ni Yule Aliyewajenga Watz Katika Msingi Fulani Leo Hii Yuleyule Anataka Kuubomoa?Mzalendo Ni Yupi Unayemtaja,yule Aliyewaongoza Watu Vitani Na Kushinda Vita Nyingi Dhidi Ya adui Lakini Leo Hii Anamchukua Kamanda Wa Maadui Na Kumfanya Amiri Mkuu Wa Jeshi Na Kusahau Mbinu Zote Walizotumia Kushinda Vita Zilizopita?
Kweli hasa pale unapotumi Chopa na kuhutubia kwa dakika Mbili tu lazima uchoke.!Na kuchoka napo kupo hivi wee wafikiria ni kazi ndogo wafanyazo wagombea ? Kusafiri na kutoa hotuba kila ck inachosha jmn
UKAWA walipodai kuwa Lowassa ni mwizi na fisadi, ni CCM waliomkingia kifua kwa madai yakuwa ni mtu safi, na kilichotokea ni ajali ya kisiasa tu (Kikwete).
Leo UKAWA wanapomkingia kifua na kumnadi ni CCM hao hao wanapiga kelele kwa madai ya Lowassa ni fisadi mkuu, tuelewe nini???!!. Kwamba alipokuwa kwao poa, Lakini akiwa kwa jirani ni nyoka???!!.
Isitoshe saa 11.20 ? Si bado nusu saa, saa wa kampeni uishe
Hatutaki watu waende jela, haisaidii lolote. Tunataka watu warudishe hela zetu. Ndio maana hatuichagui CCM, haijui vizuri shida ya wananchi ni zipi. Sasa akienda jela akarudi uraiani, hela zilizoibiwa zitarudi vipi? Chagua UKAWA fedha za mafisadi zirudishwe haraka serikalini tena haraka, sio kama CCM wanavyosema eti mafisadi wanarudisha hela kidogo kidogo, eti wakikamatwa nchi itatikisika!Team mafidadi wanahangaika ili kujiokoa na jela ya Magufuli
Aliongea kidogo ila mike ziligoma inaonekana maiki hazikuaminika kiusalama hakutaka kuzisogeza sana mdomoni
Hatutaki watu waende jela, haisaidii lolote. Tunataka watu warudishe hela zetu. Ndio maana hatuichagui CCM, haijui vizuri shida ya wananchi ni zipi. Sasa akienda jela akarudi uraiani, hela zilizoibiwa zitarudi vipi? Chagua UKAWA fedha za mafisadi zirudishwe haraka serikalini tena haraka, sio kama CCM wanavyosema eti mafisadi wanarudisha hela kidogo kidogo, eti wakikamatwa nchi itatikisika!