Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake


Huu ni ujumbe wangu kwa wale wote wanao dhani wanahaki sana na taifa hili kwa kutumia fedha zetu na mali zetu ilikufanikisha mambo yao nataka kuapa mbele ya Mungu alie tupa taifa hili kutoka mikononi mwa baba wa taifa hayati Mwl Nyerere nasema mbinu zenu ovu na za hatari ktk mustakabali wa amani yetu mtaenda nazo kaburini pasipo kutimia nchi yetu ipo imara na mataifa rafiki tena makubwa duniani wapo nasi kutulinda. mkumbuke wazalendo ni wengi kupita wasio na mapenzi mema na taifa hili mbinu zenu zote zipo wazi kama mtu alie uchi mbele ya watu nasema hamuwezi hamuwezi kutuaribia amani ya taifa hili watanzania tupo pamoja na serikali yetu na kama ni vita tupo tayari kuhakikisha tunakuwa na kizazi kitaogopa mambo maovu, idara zote za nchi zipo macho nasema hazilali mpaka mwisho wa taifa hili kama upo....
 
Ana nini huyu nae jogoo wa kuchora tu. Hawiki hadonoi mbwembwe nyiiingi kakalishwa chini. Huyu mzee atulie ajiuguze tu
 

Ushauri mzuri kwakweli.
 
you must know how to choose your battles and you must choose your battles carefully. Sio kila vita lazima upigani. Zingine ziache zipite.

Katika issue hii ya urais, you have won some battles and you have lost battles. But overall you are loosing the WAR.
 

you must know how to choose your battles and you must choose your battles carefully. Sio kila vita lazima upigani. Zingine ziache zipite.

Katika issue hii ya urais, you have won some battles and you have lost battles. But overall you are loosing the WAR.
 
Si waanzishe chama chao? Yanini kujiunga na wengine wakati wao wanaamini wana nguvu na ushawishi?

wanataka wagombee sasa hv na kupitia process za kuandikisha chama kipya hawataweza kupata usajili wiki nne kabla ya kampeni kuanza
 
Watanzania wanasubiri kwa hamu kusikia raisi mtarajiwa kutoka #UKAWA atayetangazwa rasmi kesho .
Lowasa baada ya KUKATWA rasmi tunasubiri kuipasua ccm vipande-vipande Ushindi wa UKAWA utakuwa wa kishindo.
 

You must be joking...
 
CCM imemlea sana lowassa (kiislamu tunaita kusitiri). Alivyoona anasitiriwa kwa kufichiwa aibu ya maovu yake aliona anaogopwa mwisho wake akataka kukipanda chama kichwani. Amepata stahili yake. Atulie atubu madhambi yake ya kuchangia kuitia nchi umasikini. Hakuna aliye zaidi ya chama.
 
CCM lazima imeguke kwa stayle hii..Magufuli hawezi kupita kirahisi kama anavyodhani

Akienda UKAWA CCM wameisha, ila simshauri aende ACT kabisa maana wale bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…