Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Mzee Lowassa

Natumaini unaendelea kujikongoja baada ya a bitter defeat. Lakini nikukumbushe - haya pia yatapita. Mwisho wa siku yote yatapita.

Kumbuka -Jambo la muhimu kuliko yote kwa mtu yoyote ni familia. Bado unayo familia yako iliyo kuwepo na itakayokuwepo.

Kumbuka - Bwana ndio mchungaji wako hutapungukiwa na chochote

Madhumuni ya barua hii ni kukumbusha kile kitabu maarufu cha THE ART OF WAR BY SUN TZU.

Katika kitabu kile Tzu anaandika kuwa, you must know how to choose your battles and you must choose your battles carefully. Sio kila vita lazima upigani. Zingine ziache zipite.

Katika issue hii ya urais, you have won some battles and you have lost battles. But overall you are loosing the WAR.

Nakushauri uache sasa. Usiendelee kupigana. You are loosing the WAR!

Iache vita hii ipite Mzee.

ushauri wa kupuuzwa huu....bora ushindwe ukiwa vitani, sio kitandani. Sisi tunataka kuona CCM ikipasuka kabla hatujaiacha dunia...na hilo mungu atatupa pumzi kuliona.

Nenda kamawambie Magufuli, na mwenyekiti...kuwa ushindi wa sijui kishindo.....HASAAUUUUUUUUU
 
lowas hana washauri labda asaidiwe na familia yake,lakini mambo ya kutengemea kingunge ni kazi bure,hasifikili ccm ni wajinga watamsambalatisha hatasaau maishani mwake,
 
Aende kwa amani ACT Tanzania. Akaungane na Zitto. Ndio mambo ya uhuru. Hayo tunamtakia mafanikio huko aendako.
 
Anaogopa nini kutangaza kuhama ccm.? atapotezwa vibaya Sana amuulize zitto kabwe.anajifanya anaijuwa siasa lakini haijuwi.
 
Lowassa ni mtu wa watu,kama anataka kuhama basi aje UKAWA ila akienda kwingine atapotea kabisaaaaaaaaaa!


chukueni lakini sijui anaenda kutafuta ikulu ya wapi,mungu hajampanga kuwa rais tangu 1995 anaangaika tu ukawa kama mnaona anawafaachukueni atawasaidia mana anapesa nyingi sana za kampani lakini ikulu ni ndoto,
 
rais sio kundi la watu linapanga mtu awe rais,sio kweli wala pesa sio inapanga mtu awe rais ,rais anapangwa na mungu,miaka ishirini ambayo ameangaika na urais hajafanikiwa basi atunze heshima yake,mungu hakupenda lakini akiendelea kudanganywa na wakina kingunge,inakura kwao.
 
Nadhani EL hana washauri. Pamoja na miscalculations zote walizofanya, bado walisonga mbele kwenye "SAFARI yao ya MATUMAINI HEWA".

Na sasa wanataka kufanya makosa mengine. Nadhani team yote ni sikio la kufa.

Labda niwatakie kila la heri na tutaona Casualty Room!
 
Mzee Lowassa

Natumaini unaendelea kujikongoja baada ya a bitter defeat. Lakini nikukumbushe - haya pia yatapita. Mwisho wa siku yote yatapita.

Kumbuka -Jambo la muhimu kuliko yote kwa mtu yoyote ni familia. Bado unayo familia yako iliyo kuwepo na itakayokuwepo.

Kumbuka - Bwana ndio mchungaji wako hutapungukiwa na chochote

Madhumuni ya barua hii ni kukumbusha kile kitabu maarufu cha THE ART OF WAR BY SUN TZU.

Katika kitabu kile Tzu anaandika kuwa, you must know how to choose your battles and you must choose your battles carefully. Sio kila vita lazima upigani. Zingine ziache zipite.

Katika issue hii ya urais, you have won some battles and you have lost battles. But overall you are loosing the WAR.

Nakushauri uache sasa. Usiendelee kupigana. You are loosing the WAR!

Iache vita hii ipite Mzee.

Kwa hiyo wewe ndiye Koffi Annan?
 
Kama ni kweli basi UKAWA itafaidika na ugomvi wao....ila bado nina wasi wasi na kuhama kwake maana system ya nchi ilivyokaa tu Napata mashaka sana....ingekuwa Kenya ningempa go ahead...lakini Uganda. Tanzania au Rwanda hapana...

Lowasa alichezewa kekundu...wakati wajumbe wa NEC wameingia ndani ya mkutano, aliitwa ghafla chumba kingine na baadhi ya viongozi...kule alikaa na hao waliomuita kama dakika 10-15 hvi wakati huo ndani ya kikao wajumbe wanapumbazwa kwa maneno matamu na kutakiwa kutanguliza maslahi ya chama mbele...muda kidogo, JK. akasema tuendelee na upigaji kura hayo mengine yamishapatiwa ufumbuzi....kumbe lowassa kazubaishwa chumbani....ile anaingia tu ndani anakuta upigaji kura umeanza......sasa akajilaumu sana..............
 
....wakati Dr.Slaa alipokatwa jina lake huko ccm akiwa karatu aliamua kuhama ccm na kwenda Chadema...hayo ndio maamuzi magumu....Kama Lowassa kweli anaona hakutendewa haki huko ccm basi achukue maamuzi magumu....ahame chamani ccm .....aende chama anachoona kitakidhi dhamira yake ya "safari ya matumaini"...kinyume chake ni kwamba atazidi kuonekana amekwama kabla hata hajaanza safari yake ya matumaini....afanye maamuzi magumu...kama aliyofanyiwa na wenzanke huko ccm pale alipokatwa jina lake...Tunasubiri maamuzi magumu toka kwa gamba 'mamvi'....ahaaa....
 
haya tunasubiri tuone

lowasa nakukumbusha ,watu wengi wa ccm walikuwa nyuma yako ukiwa ccm na walikuwa nyuma yako maana walikuwa hawamtaki Membe maana walikuwa hawamkubali na hi yo vita ilikuwa ya wewe na membe,lakini baada ya kumpata mtu sahihi ambaye wanamkubali hauna tena mvuto maana wengi hawakujua kama magufuli anaweza kupita
so pamoja na za kushauriwa changanya na zako na soma alama za nyakati

 
If I were Lowasa, I'd strike a deal with a very powerful opposition right now; in order to safeguard my constituency by joining their force. I'd realize how fast the tranquility of my peace is running out. I'll spill all the beans to this opposition as long as they assure me of my MP seat and spare me from punishment. ALL THIS IS POSSIBLE only if he repents and join the opposition with all of his supporters.

He has lost his war for presidential candidacy through CCM for sure, with a lot of mudslinging as if he was the only fisadi in CCM. Who is clean there anyway?

There's promising life for Lowasa OUTSIDE CCM rather staying inside with them. CHUKUA MAAMUZI MAGUMU (kama kauli mbiu yako hii haikuwa zuga).
 
Back
Top Bottom