Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Namuunga mkono 100% ... JK amemfanyia Uhuni .... Mtaji anao wakutosha, Sababu anazo, nia anayo .... Hakika CCM itapasuliwa tu ...

RockSpider umenena vyema. Mimi niko Geita, nguvu ya Lowassa hata huku ilikuwa ya kutisha tukiweka mbali Magufuri ni Msukuma wa Geita-Chato kama mimi japo Magufuri wakikomaa kumnadi wananchi wanamkubali hasa huku kanda ya ziwa na sio Chato maana hata mwenyekiti wa kitongoji chake ni CHADEMA.
 
....wakati Dr.Slaa alipokatwa jina lake huko ccm akiwa karatu aliamua kuhama ccm na kwenda Chadema...hayo ndio maamuzi magumu....Kama Lowassa kweli anaona hakutendewa haki huko ccm basi achukue maamuzi magumu....ahame chamani ccm .....aende chama anachoona kitakidhi dhamira yake ya "safari ya matumaini"...kinyume chake ni kwamba atazidi kuonekana amekwama kabla hata hajaanza safari yake ya matumaini....afanye maamuzi magumu...kama aliyofanyiwa na wenzanke huko ccm pale alipokatwa jina lake...Tunasubiri maamuzi magumu toka kwa gamba 'mamvi'....ahaaa....

swali je akienda huko Slaa atamuachia agombe urais maana lowasa yeye anataka urais?
lakini mpaka sasa Slaa pamoja na kuondoka ccm bado ndoto zake hazijatimia na hazitatimia mpaka anaachama na siasa,
so najui tatizo la lowasa ni washauri wake ndo wanamponza aswa wakina kingunge basi,
 
Huu ni ujumbe wangu kwa wale wote wanao dhani wanahaki sana na taifa hili kwa kutumia fedha zetu na mali zetu ilikufanikisha mambo yao nataka kuapa mbele ya Mungu alie tupa taifa hili kutoka mikononi mwa baba wa taifa hayati Mwl Nyerere nasema mbinu zenu ovu na za hatari ktk mustakabali wa amani yetu mtaenda nazo kaburini pasipo kutimia nchi yetu ipo imara na mataifa rafiki tena makubwa duniani wapo nasi kutulinda. mkumbuke wazalendo ni wengi kupita wasio na mapenzi mema na taifa hili mbinu zenu zote zipo wazi kama mtu alie uchi mbele ya watu nasema hamuwezi hamuwezi kutuaribia amani ya taifa hili watanzania tupo pamoja na serikali yetu na kama ni vita tupo tayari kuhakikisha tunakuwa na kizazi kitaogopa mambo maovu, idara zote za nchi zipo macho nasema hazilali mpaka mwisho wa taifa hili kama upo....

Ushapigana vita ipi mbipi wewe!?
 
CCM imemlea sana lowassa (kiislamu tunaita kusitiri). Alivyoona anasitiriwa kwa kufichiwa aibu ya maovu yake aliona anaogopwa mwisho wake akataka kukipanda chama kichwani. Amepata stahili yake. Atulie atubu madhambi yake ya kuchangia kuitia nchi umasikini. Hakuna aliye zaidi ya chama.

kumbe mnajua kuwa chama chenu kinaficha waovu.sasa mnafanya nn huko mbona hamtoki na kwa kila amuungae mkono muovu kutimiza uovu wake nae ni muovu,au mmeamua kwa kiburi kuwaunga waficha uovu mkono?
 
RockSpider umenena vyema. Mimi niko Geita, nguvu ya Lowassa hata huku ilikuwa ya kutisha tukiweka mbali Magufuri ni Msukuma wa Geita-Chato kama mimi japo Magufuri wakikomaa kumnadi wananchi wanamkubali hasa huku kanda ya ziwa na sio Chato maana hata mwenyekiti wa kitongoji chake ni CHADEMA.

wewe hacha uongo mm niko mwanza nguvu ya lowasa ilikuwa kubwa wakati magufuli alikuwa hajulikani,sasa hivi mwanza nzima watu wamepagawa na magufuli,wewe unasema nini,lowasa ni ndani ya cm wala sio kwingine,kamavipi aende tuone,
 
Wakuu heshima mbele..Mh Lowassa akubali tu kushindwa..life is a bitch.Naamini kabisa watanzania wengi kabisa bado wataendelea kumheshimu na kumkumbuka kama kiongozi shupavu na jasiri.abaki ccm na ajaribu kukiimarisha chama chake ambacho ndicho kimemkuza,kimemjengea jina,kimempa umaarufu na kimempa utajiri..asijaribu kuacha mbachao kwa msala upitao.Asijaribu tena kupambana na serekali.ni vita ambavyo kamwe hataviweza.Mungu ambariki kamanda Lowassa na kumpa hekima na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi..
 
Wana jamvi tunaomba kwa walio eneo la mkutano wa mh Edward lowasa na media,atujuze kinachoendelea kwani siasa siyo chuki.
 
kumbe mnajua kuwa chama chenu kinaficha waovu.sasa mnafanya nn huko mbona hamtoki na kwa kila amuungae mkono muovu kutimiza uovu wake nae ni muovu,au mmeamua kwa kiburi kuwaunga waficha uovu mkono?

kwani shida ni nini chukueni lowasa,sio wakati wa kuficha waovu tena na magufuli amewambia wajue wizi mwisho/rushwa mwisho.
 
Kuna mkutano wapi mkuu? Hz propaganga za uongo tuu Mara mkutano Mara amwekwa kizuizini mara ameennda chadema Mara ACT
 
Huyo sasa kwishney! Akithubutu kuhama chama ndio atakuwa amejimaliza zaidi. Wenzake wanamsubiri kwa hamu ili waanike uozo wake waliokuwa wanamfichia.

LOWASA Alisema hakuna alichokuwa akikifanya KIKWETE asijue hivyo wakijipanga kuanika uozo wake watakuwa wanamuanika KIKWETE pia na ukimuanika KIKWETE ni kuwa unaianika CCM, tutashukuru sana wakifanya hivyo kwani wananchi watapata picha halisi ya CCM na viongozi wake ilivyo akiwemo na MAGUFULI hivyo UKAWA kuinghia IKULU itakuwa kama kumsukuma MLEVI
 
If I were Lowasa, I'd strike a deal with a very powerful opposition right now; in order to safeguard my constituency by joining their force. I'd realize how fast the tranquility of my peace is running out. I'll spill all the beans to this opposition as long as they assure me of my MP seat and spare me from punishment. ALL THIS IS POSSIBLE only if he repents and join the opposition with all of his supporters.

He has lost his war for presidential candidacy through CCM for sure, with a lot of mudslinging as if he was the only fisadi in CCM. Who is clean there anyway?

There's promising life for Lowasa OUTSIDE CCM rather staying inside with them. CHUKUA MAAMUZI MAGUMU (kama kauli mbiu yako hii haikuwa zuga).

Tutamdharau sana kama atawapigia magoti hawa watu walio mdharirisha hususani Kikwete.
 
Duh, bado mnamzungumzia lowassa? the guy is finished.inawsiwasi pia kama nchimbi, Sophia na kimbisa watapona kisiasa.
 
kwani shida ni nini chukueni lowasa,sio wakati wa kuficha waovu tena na magufuli amewambia wajue wizi mwisho/rushwa mwisho.

huo mwisho unatangazwa kwa wote au ni kwa wadogo tu.maana ikiwa ni fumua uovu na wizi sioni wa kubaki pale hata yy mwenyewe.na nnaamini hanauwezo wa kuwafumua waovu wakubwa km mjomba na mkaa hapa na mawaziri wengi waovu.sana sana ataishia kuwaonea tu hawa wa chini.lkn acha picha iendelee tuombe uzima na mungu atulinde salama
 
CCM imemlea sana lowassa (kiislamu tunaita kusitiri). Alivyoona anasitiriwa kwa kufichiwa aibu ya maovu yake aliona anaogopwa mwisho wake akataka kukipanda chama kichwani. Amepata stahili yake. Atulie atubu madhambi yake ya kuchangia kuitia nchi umasikini. Hakuna aliye zaidi ya chama.

upo sahihi mrembo wa asili. Nimeipenda hii
 
If I were Lowasa, I'd strike a deal with a very powerful opposition right now; in order to safeguard my constituency by joining their force. I'd realize how fast the tranquility of my peace is running out. I'll spill all the beans to this opposition as long as they assure me of my MP seat and spare me from punishment. ALL THIS IS POSSIBLE only if he repents and join the opposition with all of his supporters.

so atrak

He has lost his war for presidential candidacy through CCM for sure, with a lot of mudslinging as if he was the only fisadi in CCM. Who is clean there anyway?

There's promising life for Lowasa OUTSIDE CCM rather staying inside with them. CHUKUA MAAMUZI MAGUMU (kama kauli mbiu yako hii haikuwa zuga).

nawashauri nendeni kwae muandamane ili aende huko anapotaka kwenda,maana naona waliokuwa wanamuita fisadi humu leo ndo wanamkaribisha kwa mbwebwe, kweli nimejua hapa ni siasa tu hakuna mwenye dhamira ya dhati juu ya taifa hili,

nawashauri hawasikilize maana na nyie ni washauri wake mbadara wa kingunge ,tuone kitakachojiri,

 
Back
Top Bottom