Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Umekiri vyema huo ni mradi wa hovyo kabisa... bila hata kujali majirani tulihitaji kuboreshaa bandari zetu tanga..dar mtwara kwa faida ya watu wetu kwanza...imagine mtu yuko mtwara an clear gari bandari ya dar..mwee shidaa
 
Anachunguza jambo kwa undani kisha anaongea kwa ufasaha,lazima ushangae! Machozi yatakulenga tu!
Kwa haraka Mheshimiwa Edo ni mchunguz mzuri na anafamu mambo mengi khs Tanzania hasa yale yaliyo jificha.

Ni jukumu letu watanzania
 

Navhoweza kusema, bandari ya Bagamoyo ni siasa tupu. Kulikua na mradi wa Bandari ya Tanga( eneo la Mwambani sijui-spelling) lakini kimyaaa. Siasa inaamua mambo mengi(political will).
Kama professionalism ingekua inaheshimiwa, huwez kuiacha project ya Mtwara Corridor halafu kipaumbele kikawa ni kuanzisha bandari mpya wakati ile ya corridor la kusini ambako traffic congestion pale bandarin na hata barabaran ni ndogo na hivyo ni rahisi kusafirisha bidhaa. Bagamoyo bado ni shida kwani iko jiran na Dar es Salaam na hivyo baada ya miaka 10,shida ya msongamano wa magari itajitokeza kwa haraka. Political Will ndiyo mpango mzima!
 
Sio wewe tu mkuu...

Ukisoma maoni mbalimbali ya watu wa uchumi juu ya mradi huo wa bandari, wanaeleza bayana kuwa ni mradi pata potea...

Ni uwekezaji ambao hauna uhakika wa kurudisha faida na wameshauri ni vyema kupanua bandari zilizopo...

Na mbaya zaidi unawekeza pesa za mchina ambaye huwezi kulipa pesa yake.

Ili akusamehe inabidi alete makampuni yake yaje kufanya biashara bure bila kulipa kodi.

Biashara kichaa hii.
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie

Magufuli yupo pale kama boksi, hawezi kuongoza nchi bila maamuzi ya CCM.

Magufuli hata kaa awaze kuzima hii bandari.
 
Sasa naanza kuelewa kwanini serikali na CCM kwa ujumla wanajitahidi kwa kila mbinu kumkandamiza na kumdidimiza Lowassa, hakuna jiwe litakaloachwa bila kugeuzwa!

Watu wengi sana wanaoinyonya Tanzania hawatampenda Lowasa kabisa.
 
Kutoka Dar to Bagamoyo ni Km 45. Dar kuna Bandari tena kubwa, then leo hii unataka kujenga bandari nyingine Bagamoyo. Hiyo ni akili au matope
 
Mkuu maelezo yako yanaeleweka. Nadhani Lowasa asiingie madarakani na kusnza kulipiza visasi.
Kuna mambo mengine sio ya kuyaongelea sasa hivi. Angoje hadi awe rais.mpkaka hapo kura za bagamoyo hajazikosa?

Nadhani anaangalia kwenye picha kubwa.

Anaweza kukosa kura za wana bagamoyo (anaweza asipate pia hata kama hajaongelea kuhusu huu mradi) lakini akapata za wengine wenye nia njema na hii nchi.
 
Kutoka Dar to Bagamoyo ni Km 45. Dar kuna Bandari tena kubwa, then leo hii unataka kujenga bandari nyingine Bagamoyo. Hiyo ni akili au matope

Moja ya sababu za kufeli kwa plans alinifundisha mwalimu wangu wa economics 101 ni kama hii hapa "political allocation of resources".
 
Kutoka Dar to Bagamoyo ni Km 45. Dar kuna Bandari tena kubwa, then leo hii unataka kujenga bandari nyingine Bagamoyo. Hiyo ni akili au matope

Hiyo Bandari ya Dar unaweza kuipanua mara 4 zaidi na hiyo hela na ukaanza kujenga reli ya kati kwa SGR hadi dodoma.
 

Nimeona bora muwekezaji mzungu kuliko mchina.
 
Magufuli yupo pale kama boksi, hawezi kuongoza nchi bila maamuzi ya CCM.

Magufuli hata kaa awaze kuzima hii bandari.

Magufuli hana ubavu kuhusu Katiba Mpya, hana ubavu na miradi mfu isiyo na tija kama huu. Atabaki kuwa bubu milele na kulialia tu sitawaangusha wakati anatuangusha kwa kukaa kimya mbele ya mambo ya ovyo kama haya!
 
Bandari ya Bagamoyo si muhimu sana kama ni kujenga Bandari wangejenga kule mkuranga au lindi kisha kuzijenga Bandari za mtwara na Tanga, kisha kujenga Bandari maalum ya magari tu kule Kigamboni nyuma Kimbiji iwe Bandari maalum ya magari pekee kama wanavyofanya South Africa wana Bandari maalum ya magari pekee kule Darban.
 
Umekiri vyema huo ni mradi wa hovyo kabisa... bila hata kujali majirani tulihitaji kuboreshaa bandari zetu tanga..dar mtwara kwa faida ya watu wetu kwanza...imagine mtu yuko mtwara an clear gari bandari ya dar..mwee shidaa

kweli wewe zaga x2, unategemea meli itatoka japan ina shehena ya magari kwa maelfu na muelekeo ni dsm tz. itie nanga mtwara kushusha magari pengine haya zidi 20.
 
kweli wewe zaga x2, unategemea meli itatoka japan ina shehena ya magari kwa maelfu na muelekeo ni dsm tz. itie nanga mtwara kushusha magari pengine haya zidi 20.

Kwani magari yanayoshuka bandari ya DSM yanabaki Dar yote?
 
Kwa wenye akili zetu tulimwelewa mapema mzee kingunge, tangu 2005 Uchumi WA Tanzania ulisimama, kwa mana nyingine tumerudi nyuma.mwaka 2004 uchumi ulifikia kukua kwa 7% Leo uchumi unakuwa 2015 kwa 7%.Akili matope.Lowassaaaaaaaaaaaaaaaaamabadiliiiiiiiikoooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…