Lowassa tunampenda na Tundu Lissu tunampenda lakini 2015 & 2020 tuliamua kuchagua Maendeleo. CCM msituangushe!

Lowassa tunampenda na Tundu Lissu tunampenda lakini 2015 & 2020 tuliamua kuchagua Maendeleo. CCM msituangushe!

Sasa huyu Mapadlock yupo wapi? Dont west ur brain power kwa vitu vya kijinga.

Magufuli is no more. Na uchaguzi gani unaosema mlimchagua Magufuli? Kwamba Magufuli alimshinda Lowasa? Kisha akaja kumshinda Lissu 2020!

Wewe utakuwa ni wa mirembe. Jiangalie nisije kukulima matusi.
 
Sasa huyu Mapadcock yupo wapi? Dont west ur brain power kwa vitu vya kijinga.
Magufuli is no more. Na uchaguzi gani unaosema mlimchagua Magufuli? Kwamba Magufuli alimshinda Lowasa? Kisha akaja kumshinda Lissu 2020!

Wewe utakuwa ni wa mirembe. Jiangalie nisije kukulima matusi.
Mtu anayeamini katika matusi ni MSHAMBA kabisa

Miaka ya 1970s ndio Watu walitukanana tena kwa kuandikana ukutani

Dunia imestaarabika na ukiona mtu anatukana leo huyo hana tofauti na nyani wa porini
 
Sasa huyu Mapadlock yupo wapi? Dont west ur brain power kwa vitu vya kijinga.

Magufuli is no more. Na uchaguzi gani unaosema mlimchagua Magufuli? Kwamba Magufuli alimshinda Lowasa? Kisha akaja kumshinda Lissu 2020!

Wewe utakuwa ni wa mirembe. Jiangalie nisije kukulima matusi.
Kwa hiyo kwa akili zako wewe watu wenye akili zao wasii na mihemko kama wewe walimpigia kura lissu.?
 
Sasa huyu Mapadlock yupo wapi? Dont west ur brain power kwa vitu vya kijinga.

Magufuli is no more. Na uchaguzi gani unaosema mlimchagua Magufuli? Kwamba Magufuli alimshinda Lowasa? Kisha akaja kumshinda Lissu 2020!

Wewe utakuwa ni wa mirembe. Jiangalie nisije kukulima matusi.
Kweli anatuona,

Boda boda wanatakiwa wachangie 100 sh Kwa Kila mmoja ipatikane bn 7 fasta.
 
Sasa huyu Mapadlock yupo wapi? Dont west ur brain power kwa vitu vya kijinga.

Magufuli is no more. Na uchaguzi gani unaosema mlimchagua Magufuli? Kwamba Magufuli alimshinda Lowasa? Kisha akaja kumshinda Lissu 2020!

Wewe utakuwa ni wa mirembe. Jiangalie nisije kukulima matusi.
Na akili yako kabisa unaamini Watanzania tungeweza kumchagua Lissu, kibaraka wa mabeberu, badala ya Mzalendo Magufuli?
Unahitaji msaada wa Kisaikolojia.
 
chawa linalofugwa kwenye makorido ya lumumba linafikir bado linaweza kupata uteuz kwa kumtaja lissu, hilo lilowassa fisadi lilirudi ccm kwa mafisadi wenzake baada ya kuona chadema hakuna mafisadi kama lenyewe.
Chadema mnalambishwa asali
 
huyo magufuli wako alimshinda lissu? yani lumumba na akili zenu za mzoga mnaamini hivyo? huyo dictator angemshinda nani huku kanda ya ziwa tulimnyoosha mpaka akaomba poo kwa kutumia policeccm na asingefanya hivyo saiv angewa chato anakula furu maana Mungu asingemuua lakin kwa ujinga wake alipopora uchaguzi Mungu ni fundi akamyoosha saiv mmebakia na akili zake za kutambika.
Kanda ya Ziwa ya wapi hiyo mkuu? Hiihii iliyojaa Sukuma Gangs?
 
sukuma gangs ni kikundi kidogo sana huku kanda ya ziwa na hakina nguvu yoyote dhidi ya chadema na kama huamini wait 2025 ndo utaifahamu chadema kwa mara nyingine baada ya dikiteta kugongwa na lissu mpaka policeccm wakamnusuru.
Kwahiyo 2025 hamtakuja na ngonjera zenu za kuibiwa kura?
 
Katiba mpya itasimamia maendeleo kote nchini ipasavyo bila kujali Nani kashika hatamu hata ukiwa wewe mleta MADA!!

Ndiyo Maana ni maombi yangu kuwa kila mtanzania aimbe wimbo huu hapa;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!!
 
Hili jambo CCM wanapaswa wasilisahau wala kujisahaulisha

Tulipowachagua hayati Magufuli na mama Samia tulichagua Maendeleo

Hivyo jitihada zozote za mafisadi kulihujumu Taifa letu tusizikubali na tuzipige vita

Mungu wa mbinguni anatuona mjue!
Kuna kikundi kingine kilitawala Tanzania kikazuwia maendeleo?
 
Hili jambo CCM wanapaswa wasilisahau wala kujisahaulisha

Tulipowachagua hayati Magufuli na mama Samia tulichagua Maendeleo

Hivyo jitihada zozote za mafisadi kulihujumu Taifa letu tusizikubali na tuzipige vita

Mungu wa mbinguni anatuona mjue!
Subutuuuuu yako wewe. Ule ulikua uchafuzi na sio UCHAGUZI acha bangi
 
Back
Top Bottom