huyo pascal ufahamu wake wa sheria uko wapi au kukariri vitini na vifungu vya kuwadanganyia mabwege wa lumumba humu jf na wakamwamin ndo unaita anaufahamu wa sheria, Labda tu nikuulize huyo pascal anayosifa ya uwakili? na kama anayo ni kesi ipi amewahi kulitigate na kuishinda mahakamani? kama hana hiyo sifa hana tofauti na vijana wanaosoma LLB huku discussion zao zikiwa na unnecessary arguments hata kama sheria iko wazi, labda tu nikukumbushe huyo pascal amekuwa akiwatambua wale makahaba 19 waliofukuzwa chadema kuwa ni wabunge na amewahi kuandika humu kwamba taratibu za kuwafukuza hazikufatwa hivyo ni wabunge halali amesahau kuwa hata mahakama ikikutia hatian na kukuhukumu lazima hukumu uitekeleze hata kama umekata rufaa sasa yeye na huo ufahamu wa sheria unaosema anao inakuaje hajui hicho nilichokisema narudia kama yeye anaijua sheria aende field ambapo ni mahakamani akaone michuano sio kuleta notes za sheria mitandaoni na kujifanya unajua sheria.