Mgalula MzTz
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 462
- 421
Ni mwendawizimu tu ndio anaweza kuamini kuwa Lissu alimshinda Magu kwenye uchaguzi,narudia tena ni mwendawazimu tu.Kwanza Lowassa na Lissu hawakufanikiwa kuwafikia wapiga kura wao kunadi sera kipindi cha kampeni.huyo magufuli wako alimshinda lissu? yani lumumba na akili zenu za mzoga mnaamini hivyo? huyo dictator angemshinda nani huku kanda ya ziwa tulimnyoosha mpaka akaomba poo kwa kutumia policeccm na asingefanya hivyo saiv angewa chato anakula furu maana Mungu asingemuua lakin kwa ujinga wake alipopora uchaguzi Mungu ni fundi akamyoosha saiv mmebakia na akili zake za kutambika.
Naunga mkonoNi mwendawizimu tu ndio anaweza kuamini kuwa Lissu alimshinda Magu kwenye uchaguzi,narudia tena ni mwendawazimu tu.Kwanza Lowassa na Lissu hawakufanikiwa kuwafikia wapiga kura wao kunadi sera kipindi cha kampeni.
Mtu anayeamini katika matusi ni MSHAMBA kabisa
Miaka ya 1970s ndio Watu walitukanana tena kwa kuandikana ukutani
Dunia imestaarabika na ukiona mtu anatukana leo huyo hana tofauti na nyani wa porini
Chadema mnauziwa masweta!Akina mama wa CCM bhana.
Kashapewa khanga anaanza porojo
Mzalendo yupi? Yule aliyetupiga 1.5trillion kimchezo mchezo! Mzalendo yupi yule aliyekataa uwajibikaji ili aibe na vibaka wenzie? Mzalendo yupi ambaye alikataa watu wasiulize kwa nini anakwapua raslimali?Na akili yako kabisa unaamini Watanzania tungeweza kumchagua Lissu, kibaraka wa mabeberu, badala ya Mzalendo Magufuli?
Unahitaji msaada wa Kisaikolojia.
Mayala= Njaa. Njaa ikizidi kichwa kinakuwa box tupu.huyo pascal ufahamu wake wa sheria uko wapi au kukariri vitini na vifungu vya kuwadanganyia mabwege wa lumumba humu jf na wakamwamin ndo unaita anaufahamu wa sheria, Labda tu nikuulize huyo pascal anayosifa ya uwakili? na kama anayo ni kesi ipi amewahi kulitigate na kuishinda mahakamani? kama hana hiyo sifa hana tofauti na vijana wanaosoma LLB huku discussion zao zikiwa na unnecessary arguments hata kama sheria iko wazi, labda tu nikukumbushe huyo pascal amekuwa akiwatambua wale makahaba 19 waliofukuzwa chadema kuwa ni wabunge na amewahi kuandika humu kwamba taratibu za kuwafukuza hazikufatwa hivyo ni wabunge halali amesahau kuwa hata mahakama ikikutia hatian na kukuhukumu lazima hukumu uitekeleze hata kama umekata rufaa sasa yeye na huo ufahamu wa sheria unaosema anao inakuaje hajui hicho nilichokisema narudia kama yeye anaijua sheria aende field ambapo ni mahakamani akaone michuano sio kuleta notes za sheria mitandaoni na kujifanya unajua sheria.
Huu ushindani hauna hata maana. JPM hatunaye, Lissu si raisi.Ni mwendawizimu tu ndio anaweza kuamini kuwa Lissu alimshinda Magu kwenye uchaguzi,narudia tena ni mwendawazimu tu.Kwanza Lowassa na Lissu hawakufanikiwa kuwafikia wapiga kura wao kunadi sera kipindi cha kampeni.
Usihangaike na huyo Shoga mnufaika wa UfisadiMtu anayeamini katika matusi ni MSHAMBA kabisa
Miaka ya 1970s ndio Watu walitukanana tena kwa kuandikana ukutani
Dunia imestaarabika na ukiona mtu anatukana leo huyo hana tofauti na nyani wa porini
We mbwiga ulivyompigia wewe Lisu ukajua Watanzania wote walimpigia. Una akili ya kwendea chooni tu, tena choo cha shimohuyo magufuli wako alimshinda lissu? yani lumumba na akili zenu za mzoga mnaamini hivyo? huyo dictator angemshinda nani huku kanda ya ziwa tulimnyoosha mpaka akaomba poo kwa kutumia policeccm na asingefanya hivyo saiv angewa chato anakula furu maana Mungu asingemuua lakin kwa ujinga wake alipopora uchaguzi Mungu ni fundi akamyoosha saiv mmebakia na akili zake za kutambika.
Mzalendo aliyetupambania dhidi ya mabeberu na vibaraka wao, aliyepambana na wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wahujumu uchumi na mtetezi wa kweli wa Watanzania.Mzalendo yupi? Yule aliyetupiga 1.5trillion kimchezo mchezo! Mzalendo yupi yule aliyekataa uwajibikaji ili aibe na vibaka wenzie? Mzalendo yupi ambaye alikataa watu wasiulize kwa nini anakwapua raslimali?
Mzalendo muuaji wa wazalendo ni dracula
JPM mzalendo my foot!
kwa katiba hii maendeleo ni ndoto !! Miaka 60 ya Uhuru bado tunahangaika na Maji safi, Umeme na Madawati achilia mbali miundombinu vijijini ni balaa.Hili jambo CCM wanapaswa wasilisahau wala kujisahaulisha
Tulipowachagua hayati Magufuli na mama Samia tulichagua Maendeleo
Hivyo jitihada zozote za mafisadi kulihujumu Taifa letu tusizikubali na tuzipige vita
Mungu wa mbinguni anatuona mjue!
Katika ma Rais wote, Jiwe ndiyo kaiba nyingi, alipata 35 tu, huku EL akizoa 65Magufuli nà ccm yake walijichagua wenyewe kwa kupora chaguzi zote za 2019 na 2020. Ujambazi
U know nothing man. Magufuli hajachaguliwa na hakuwahi kuchaguliwa kwenye chaguzi zote alizoshiriki Kapitishwa na tume chini ya nguvu za jeshi la polisi...kama na hilo hujui basi wewe unaishi tu sababu hujafa.Kwa hiyo kwa akili zako wewe watu wenye akili zao wasii na mihemko kama wewe walimpigia kura lissu.?
Huna, hunalo.Na akili yako kabisa unaamini Watanzania tungeweza kumchagua Lissu, kibaraka wa mabeberu, badala ya Mzalendo Magufuli?
Unahitaji msaada wa Kisaikolojia.
Sema sukuma gang na siyo watanzania, Watanzania wana akili mkuuNa akili yako kabisa unaamini Watanzania tungeweza kumchagua Lissu, kibaraka wa mabeberu, badala ya Mzalendo Magufuli?
Unahitaji msaada wa Kisaikolojia.
Wewe ni chizi kama machizi wengineKwa hiyo kwa akili zako wewe watu wenye akili zao wasii na mihemko kama wewe walimpigia kura lissu.?