Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Ni kwel maana upinzan tuliwapa nchi kutuongoza 19990 lkn wakashindwa kutuletea maendeleo kbs, bora CCM tumewachagua labda tutapata maendeleo!!Hili jambo CCM wanapaswa wasilisahau wala kujisahaulisha
Tulipowachagua hayati Magufuli na mama Samia tulichagua Maendeleo
Hivyo jitihada zozote za mafisadi kulihujumu Taifa letu tusizikubali na tuzipige vita
Mungu wa mbinguni anatuona mjue!
huyo pascal ufahamu wake wa sheria uko wapi au kukariri vitini na vifungu vya kuwadanganyia mabwege wa lumumba humu jf na wakamwamin ndo unaita anaufahamu wa sheria, Labda tu nikuulize huyo pascal anayosifa ya uwakili? na kama anayo ni kesi ipi amewahi kulitigate na kuishinda mahakamani? kama hana hiyo sifa hana tofauti na vijana wanaosoma LLB huku discussion zao zikiwa na unnecessary arguments hata kama sheria iko wazi, labda tu nikukumbushe huyo pascal amekuwa akiwatambua wale makahaba 19 waliofukuzwa chadema kuwa ni wabunge na amewahi kuandika humu kwamba taratibu za kuwafukuza hazikufatwa hivyo ni wabunge halali amesahau kuwa hata mahakama ikikutia hatian na kukuhukumu lazima hukumu uitekeleze hata kama umekata rufaa sasa yeye na huo ufahamu wa sheria unaosema anao inakuaje hajui hicho nilichokisema narudia kama yeye anaijua sheria aende field ambapo ni mahakamani akaone michuano sio kuleta notes za sheria mitandaoni na kujifanya unajua sheria.
Wakqti mwinhine inabidi tu tuwajibu hawa wanaodai kuwa JPM aliiba kura, wakati Lissu na EL hawakuweza kuyafikia majimbo yote ya wapiga kura wao, sasa huo ushindi walipataje?mimi nilikuwa mhudhuliaji mzuri wa mikutano yao ya kampeni.Huu ushindani hauna hata maana. JPM hatunaye, Lissu si raisi.
Ndo maana nasema haina maana sababu alitangazwa kuwa ni raisi na leo hayupo kapumzika.Wakqti mwinhine inabidi tu tuwajibu hawa wanaodai kuwa JPM aliiba kura, wakati Lissu na EL hawakuweza kuyafikia majimbo yote ya wapiga kura wao, sasa huo ushindi walipataje?mimi nilikuwa mhudhuliaji mzuri wa mikutano yao ya kampeni.
Wakumshinda JPM kwenye duru za uchaguzi hakuwepo.
Hivi kuna mtu aliwahi kuiba kura kama Jiwe? Jamaa alikuwa ni zaidi ya shetaniWakqti mwinhine inabidi tu tuwajibu hawa wanaodai kuwa JPM aliiba kura, wakati Lissu na EL hawakuweza kuyafikia majimbo yote ya wapiga kura wao, sasa huo ushindi walipataje?mimi nilikuwa mhudhuliaji mzuri wa mikutano yao ya kampeni.
Wakumshinda JPM kwenye duru za uchaguzi hakuwepo.
Labda alishinda njaa, Jiwe hakuwahi kushinda uchaguzi wowote ule. Ndio maana Watanzania wlipomlilia Mungu baada ya mateso makubwa Mungu akampiga chini kwa CoronaWewe unadhani alishinda nini?
Mimba yako haitaki wenye mtindio!!!