chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Atubu dhambi zake aingie kundini mbona madiwani wengi tu wa CCM wameingia CHADEMA sasa ni wazalendo ila SHIBUDA awe kama study case kwenye hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi ni taarifa, mawazo, maoni, utafiti au ndo unataka kutunga kitabu?
Sioni taabu ya nini kwa Slaa kukataa wakati Mkakati ni Kushika dola... alikuwa tayari kumchukua Sitta Enzi zile atashindwa nini kumchukua Lowasa mwenye mtaji Mkubwa wa watu wa ndani ya CCM ?
Hivi cheti chako cha milembe ulichukua???
Sioni taabu ya nini kwa Slaa kukataa wakati Mkakati ni Kushika dola... alikuwa tayari kumchukua Sitta Enzi zile atashindwa nini kumchukua Lowasa mwenye mtaji Mkubwa wa watu wa ndani ya CCM ?
Hivi cheti chako cha milembe ulichukua???
Unajua maana ya jitu?Jitu zima kuwa lizandiki ni laana. Tafuta kazi ufanye itarudisha heshima yako kuliko uzushi
Mkuu mbona unajidhalilisha???