Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Kumekuwa Na Mvutano Ambao Haujawekwa Wazi Kati Ya Vyama Vinavyounda UKAWA. Viashiria Vingi Vinaonyesha Hali Si Shwari Ndani Ya Umoja Huo Uliobeba Matumaini Ya Wananchi Wengi Waliochoshwa Na Mfumo Huu Uliopo.

Tatizo Kubwa Linaonekana Lipo Kwa Cuf/Lipumba Ambao Hawataki Kukubali Ukweli Kuwa Chadema Ina Nguvu Na Ushawishi Mkubwa Kwa Wananchi Wa Maeneo Mengi, Ni Ukweli Ulio Wazi Kabisa. Muda Umeenda, Ccm Wanazidi Kukata Mbuga Na Jembe Lao Magufuli, Na Kiukweli Huyu Mtu Anakubalika Na Kuzidi Kumpa Nafasi Ya Kuzunguka/ Kutajwatajwa Bila Ya Kujulikana Kwa Mgombea Wa Ukawa Ni Kuwapa Nafasi Ya Kufanya Kampeni.

Njia Ya Haraka Na Ya Uhakika Ni Kuachana Na Cuf Ambao Hawaaminiki Na Kukamata Fursa Kwa Kumuweka Lowasa Kuwa Mgombea Wa Uraisi Wa Chadema.

Hakuna Mwana Chadema Atakayehama Au Team Lowasa Ambao Ni Wengi Watakaoacha Kumuunga Mkono. Kikubwa Ni Kumpa Masharti Ili Kulinda Maslahi Ya Nchi Na Chama.

What a stupid suggestion. Miracles shall never end
 
akihamia ukawa kula yangu, mke wangu na watoto wangu kumi na moja amepata...maana mafunguo amewekwa na akina mwinyi na genge lake hakuna jipya hapo
 
Ikitokea Lowassa kahamishiwa sio kuhamia Ukawa basi nasema mimi nitakuwa mmoja wa watu watakao jiondoa kwenye chadema mapema.Ninaamini na nitaendelea kuamini kuwa Lowassa hafai kuwa wala kujaribu kuwa mgombea wa urais nchi hii. Akijaribu itakuwa mwisho wa Enzi yake. Litabaki jina. Chadema itapoteza juhudi zote tulizokwisha zifanya kujenga chama hiki. Tulimpinga na kumwita fisadi. List of shame mentioned by Tundu Lissu and Dr Slaa was included. Today is Clean?? No way. If this information is true then Chadema is going to loose a huge group of supporters. Lowassa is not clean to stand for presidential post in this country.

Pardon Sir, did you write in English?
 
The last thing I would want to hear or see.

Ikitokea, kitakachofuata ni cross-over, maelfu watamfuata Magufuli!
 
mkuu ulipost kuwa lowasa amezuiliwa asifanye mawasiliano ili kumzuia asiham ccm vp sasa wameshamwachia?
 
Mkuu huu uzushi naona moderator wameamua kuuwekea lebo ya unconfirmed instead ya kuutoa.

Ukiona Hivyo Ujue Wanaelekea Kukubaliana Na Mimi Na Isitoshe Huwezi Jua Pengine Nipo Katika Kikosi Cha Watu Wanaoaminika Humu Kwani Hata Posts Zangu Nyingi Zimejidhihiri Na Ukiona Nakosea Basi Ujue Ni 1/10 Ila 9 Zote Huwa Napatia. Na Isitoshe Hata Kuaminika Na Waungwana Moderators Kunataka Uwe Na AKILI ILIYOTUKUKA ( Gentamycine Akiwa Nayo ) Ambayo Naamini Wewe Huna Hata Ya Kukopa Tu. Wewe Ukianzisha Humu Uzi Si Tu Sisi Tutakaoona Una Uzushi Bali Hata Sungura Wangu Na Nguruwe Ninaowafuga Hawatakuamini. KUKUBALIKA Napo Ni KIPAJI Halafu Na Uwe Na Nyota Ya Jaha Vinginevyo Kaoge Baharini Utoe Huo Mkosi Wako.
 
Time!!

Ni wewe uliejiapiza Prof. Muhongo kuingia 3 bora, waapi

Mbona Hujamtaja Dr. John Magufuli? NILIJIAPIZA Kuwa Watu Hawa Lazima Mmoja Wao Atapitishwa Na CCM.


  • Professor Mark Mwandosya
  • Dr. John Magufuli
  • Professor Sospeter Muhongo

Je Kati Ya Hao Watatu Tajwa Hapo Juu Hakuna ALIYEPITISHWA Na CCM? Huyo Ndiyo Mathematician Gentamycine Na MTANIKUBALI Tu.
 
mkuu ulipost kuwa lowasa amezuiliwa asifanye mawasiliano ili kumzuia asiham ccm vp sasa wameshamwachia?

Siyo Mimi Na Nadhani Umenifananisha Na Member Mwingine Humu Aitwae Lizaboni. Sina Rekodi Ya Kutoa UZOZAJI ( Uzushi ) Nitake Radhi.
 
Edward ngoyai lowassa kwanini umekuwa gumzu kiasi hiki😕
 

Attachments

  • 1436976400775.jpg
    1436976400775.jpg
    54 KB · Views: 395
Acha swaga za ajabu##kuna uongo unaofanania na ukwel lkn huu wako haufananii hata
 
By Kibo10 Moderator Mbatia ashatoa toa tamko kwa niaba ya Ukawa.Cuf leo wametoa Tamko kuhusu uzushi na uvumi uliokuwa unaendelea,baada ya kikao cha jana.
Futeni huu uzushi hauna tija,La sivyo muwe wavumilivu kwa kila uzushi utakao bandikwa hapa.
Cc Invisible

Wakati Ukitokwa Na Mapovu Ya Wivu, Chuki Na Hasira Sasa Uzi Umeshafika Page Ya 9 Na Watu Wanazidi Tu Kutiririka Nao. Tatizo NYOTA!
Du hii kali leo kibo 10 anaomba POOOOOO
haijawahi tokea Bavicha wakawaita Mod's badala wamuite Tumaini Makene aoe lile tamko la kukanusha Mtei kapewa ndege ,wanamuomba Invisible
kweli siasa za majitaka acheni waende CHADEMA wawachukue na Rostam, Tibaijuka Kingunge na wengineo
attachment.php

kweli Mission accomplished
 
umesema unconfirmed halaf unasema sasa ni rasmi, tushike lipi?
 
Acha swaga za ajabu##kuna uongo unaofanania na ukwel lkn huu wako haufananii hata

Huwa Sipotezi Muda Na Junior Members Humu Kama Wewe Kwani Nitajishushia Bure Hadhi Yangu. Najua Unataka Kupandishwa Cheo Humu Kupitia Mgongo Wangu. Jitahidi Ufikie Hadhi Yangu Kisha Uanze Kujibizana Na Mimi. Tangia Lini Neymar Jr Wa FC Barcelona Ya Nchini Hispania Akajibizana Na Juma Javu Wa Yanga FC Ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom