MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,885
Kumekuwa Na Mvutano Ambao Haujawekwa Wazi Kati Ya Vyama Vinavyounda UKAWA. Viashiria Vingi Vinaonyesha Hali Si Shwari Ndani Ya Umoja Huo Uliobeba Matumaini Ya Wananchi Wengi Waliochoshwa Na Mfumo Huu Uliopo.
Tatizo Kubwa Linaonekana Lipo Kwa Cuf/Lipumba Ambao Hawataki Kukubali Ukweli Kuwa Chadema Ina Nguvu Na Ushawishi Mkubwa Kwa Wananchi Wa Maeneo Mengi, Ni Ukweli Ulio Wazi Kabisa. Muda Umeenda, Ccm Wanazidi Kukata Mbuga Na Jembe Lao Magufuli, Na Kiukweli Huyu Mtu Anakubalika Na Kuzidi Kumpa Nafasi Ya Kuzunguka/ Kutajwatajwa Bila Ya Kujulikana Kwa Mgombea Wa Ukawa Ni Kuwapa Nafasi Ya Kufanya Kampeni.
Njia Ya Haraka Na Ya Uhakika Ni Kuachana Na Cuf Ambao Hawaaminiki Na Kukamata Fursa Kwa Kumuweka Lowasa Kuwa Mgombea Wa Uraisi Wa Chadema.
Hakuna Mwana Chadema Atakayehama Au Team Lowasa Ambao Ni Wengi Watakaoacha Kumuunga Mkono. Kikubwa Ni Kumpa Masharti Ili Kulinda Maslahi Ya Nchi Na Chama.
What a stupid suggestion. Miracles shall never end
