Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

umesema unconfirmed halaf unasema sasa ni rasmi, tushike lipi?

Fanya Kama Vile Unavyoamua Kwenda Chooni Unaweza Ukaamua Kunya au Kutokunya. Maamuzi Yote Unayo Wewe Na Mtumbo Wako Huo.
 
Fanya Kama Vile Unavyoamua Kwenda Chooni Unaweza Ukaamua Kunya au Kutokunya. Maamuzi Yote Unayo Wewe Na Mtumbo Wako Huo.

wewe ndio wajiita nani hapa jf .eti unacheo gani?? acha dharau mkuuu
 
wewe ndio wajiita nani hapa jf .eti unacheo gani?? acha dharau mkuuu

Huwa Najibu Kulingana Na Unavyoniuliza Na Sina Tofauti Sana Na Majibu Ya Wanasayansi Kama Akina Professor Muhongo Na Wengineo Wengi Tu.
 

tuwe tunaelewa kuwa CCM haikurupuki hata siku moja, yeye kati ya walio chukua form ya uraisi wote 42 alikua anawazidi nini wengine hadi asikatwe yeye.
na kwa nini wapambe wake mnapiga kelele sana wakati yy katulia tuu. alisema ataongea na wandushi Wa habari kuhusu hatima yake ila nyie mnakurupuka tuu. msimdanganye tena akaana kutumia mabilioni ya hela atapigwa tuuu hakuna namna hata kwa goli la mkono inatakiwa muwe na upeo Wa kujiongeza ila kama mnachumia tumbo endeleeni.
 
Una kiherehere kama muuza gongo; si usubiri wenye Ukawa wenyewe watangaze; kwani wewe ndio umekuwa afisa habari wa UKAWA?! kupenda sifa kutakuponza Dude!! Mwanamme huna kifua cha kuhimili mambo kama Demu?! mdomo unakuwashawasha kuropoka tu!?

Sina hamu na uchaguzi wa mwaka huu tena. Nasema wazi sitachangia tena mada yoyote inayohusu uchaguzi huu hadi nimsikie nd. Makene ambae ni msemaji wa chadema au kauli ya ukawa wenyewe. Ninalojua ni kweli katika ule utaratibu wa ccm kumpata mgombea walikiuka taratibu kwa kamati ya maadili kuichagulia kamati kuu watia nia watano. Ile kamati ya maadili na usalama hawana mamlaka hayo bali kamati kuu ndio inayowaita watia nia wote kuwahoji na kuuteulia mkutano mkuu majina matano. Mkutano mkuu baada ya kuwasikiliza na kuangalia vigezo vingine humteua mmoja kugombea uraisi.Sasa kutuaminisha kuwa sababu hizo zitamfanya Lowassa kuhama ccm linanipa mashaka kuliamini. Huko ukawa kwenyewe tunaamini kuna mtifuano mkali wa nani agombee uraisi.Na pia kama atafanikiwa kuingia chadema itabidi kwanza vyama vyote vya ukawa vikubaliane kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Hivyo hata kwa taarifa hii naichukulia ni uzushi hadi itakapothibitishwa na wahusika niliowataja.
 
Reactions: MTK

Hahaha(lebaharia swag) eti Mathematician!!
Bandike ile 5 bora yako,check ratio uone ulivyofeli

Ulisema ile radio ya kina Nyani Ngabu a.k.a FLY imenunuliwa na nani vile?
au ulikuwa unawaamisha wana-daslam
 
Last edited by a moderator:
mkuu wa siti ya mbele niekee boya pembeni yako tuangalie hii movie
 
Hahaha(lebaharia swag) eti Mathematician!!
Bandike ile 5 bora yako,check ratio uone ulivyofeli

Ulisema ile radio ya kina Nyani Ngabu a.k.a FLY imenunuliwa na nani vile?
au ulikuwa unawaamisha wana-daslam


Kajiunge Na Wenzako Waliopo Pale Magomeni Mapipa Kwa MACHENI Naamini Kwa Hizi Swaga Zako Za KIPOPOMA Wale Mtaelewana Tu.
 

Hivi LOWASA ANA UMUHIMU GANI KIASI CHA WEWE KUMSIKITIKIA? WAACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZANO AENDE APOTELEE MBALI NA URAIS ATAUSIKIA TU REDIONI ILA PESA ALETE TULE KISHA ATAISOMA NAMBA
 
Moderator Mbatia ashatoa toa tamko kwa niaba ya Ukawa.Cuf leo wametoa Tamko kuhusu uzushi na uvumi uliokuwa unaendelea,baada ya kikao cha jana.
Futeni huu uzushi hauna tija,La sivyo muwe wavumilivu kwa kila uzushi utakao bandikwa hapa.
Cc Invisible
Polepole utaelewa tu bavicha mwaka huu mnakazi kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…