Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Ninachojua Lowassa anaweza kusamehewa, hata wanadamu wanafanya makosa mengi lkn wanapomlilia Mungu na kutubu huwasamehe
 
''Mbona mnalilia?, kwani mmejipangaje?
kwani mkikosa madaraka mnarudi kuwa walala hoi kama sisi? at.CCM&families
 
Mbowe alisema lowasa ni bubu leo anakuwa mgombea???
 
third part who was been troduced to the mix amekuwa attached na apson na apson yupo kwa maslai ya kampuni na mr invisible anamtumia ku graund EL frm hero 2 zero and EL is gn be the next mrema na nna was was na watu wa kampuni hata wa chadema wanatumiwa na mr invible na pia wameamua ku swich outo pilot dege la ukawa linajiendea 2 aiwezekan intellgence ya ukawa kushindwa kujua x-files zake zinadukuliwa na vjana wa mr invisible
intellegence ya ukawa wamejifungia officn badala ya kuzfanyia kaz hz political threat za mr invisible katika soko la hisa na hisa za EL zmeshuka kwa kasi sokn huku za mr magu zkpanda kwa kasi

mr apson kamaliza project ya kwanza vry succesful gn to next project na last project inakuja soon
 
Hahahaa ngoja nijiandae mbavu zangu kabisa kwa majibu atakayokupa GENTAMYCINE

Najua ana mihemuko isiyokuwa na tija huyo! UKAWA na vyama vyote husika vina wasemaji wake; sasa yeye kiherehere cha kuwahi kunena mambo ambayo kashindwa hata kutaja authoritative source yake ndio nini sasa kama sio wehu mtupu na kutafuta sifa cheap eti yeye ndiye alileta Scoop jamvini! Atasutwa bureee mtoto wa kiume!!
 
Wanaodharau Nguvu ya Lowassa, anawashauri watunze kauli zao mpaka ithibitike kuwa Amebakia CCM, kwa yeye mwenyewe kutamka hivyo. Kinachoendelea sasa hivi ni Lowassa kupima upepo ulivyo, na kadri siku zinavyozidi bila UKAWA kumtangaza Mgombea wao, ndio imani ya Lowassa kupokelewa UKAWA inavyozidi kuwa kubwa.

Naamini, kama Lowassa alijiuzulu RICHMOND ili kulinda mtu au taasisi aliyokuwepo, basi he won't lose anything kwa kuhamia upinzani, kwani atakuwa huru kusema ukweli.Kumbukeni wale 38 waliokatwa CCM sio wote wamefurahishwa na UBABE wa JK, wengi wameamua kufa na tai shingoni, kwa kuwa hawana popularity au politic mightiness ya Lowassa. Wengine ni wachumia Tumbo waliozoea kubebwa, wasioweza kusimama upinzani wakasikilizwa na yoyote yule, kwani ni wepesi sana kichwani. wengine wametega wakisubiria zamu ijayo, wako CCM kimaslahi na kimatumaini. and as long as posibility ya CCM kuendelea kubaki in power, basi hawa watu hata watukaniwe wazazi wao na CCM, wataendelea kung'ang'ana tu CCM.

Lowassa,kwa stage aliyofikia CCM hakuna kitu au cheo anachoweza kupewa, akaridhika zaidi ya uraisi. alipofikia CCM hata wakisema wamteue PM hatakubali, kwani it's not something he aspires anymore. Huyu bwana target yake ilikuwa kuwa Raisi, kama sio, basi angalau ashindanie huo uraisi.Huyu mtu ametumia miaka 20 y amaisha yake kuusaka uraisi, hivyo naamini kabisa, hataona shida kumalizia maisha aliyobakisha kutimiza ndoto yake, na muda pekee kwake ni sasa.

CCM, salama yenu ni kuwa Lowassa awe alijiuzulu bila kumlinda mtu yoyote yule!lakini kama alijiuzulu ili kumlinda mtu au serikali na akaweza kuweka wazi hili kwa watanzania MMEKWISHA.
 
Mbowe alisema lowasa ni bubu leo anakuwa mgombea???


CCM kila mtu BUBU akishakatwa!kaufyata MAKONGORO aliyekuwa anabwabwaja kutwa kucha itakuwa LOWASSA?!

wanasiasa ni mabingwa wa kuyakana maneno yao, huchelewi sikia mbowe akisema CCM walimfanya Lowassa awe BUBU na UKAWA wamemtibu, sasa ataongea kumshinda Dr.Slaa!
 
Mamvi anatuhuma za ufisadi jamani....hawezi kuwa mzembe hivyo msimdharau!! Anajua risk ya kwenda Chadema! Na CDM hawawezi kurisk pia kumkaribisha mtuhumia vibaya namna hiyo!!
 
angalieni msiwe waongo kama lowasa......jamaa kwa fix hajambo
 
hebu tuonyeshe mahali uliposema magufuli atakuwa chaguo la ccm?............hahahahahhahah
 
ukiambiwa utoe japo ushahidi mmoja tu kuwa lowasa amehusika na ufisadi wowote je utaweza kutoa?

Ndo maana nikasema ajisafishe maana mbele ya CCM kaonekana si msafi waka mtosa sasa ajisafishe
 
Wote hao unaowasema hawakuwa na kasfa yoyote,ni wazi CHADEMA ikimpokea itapoteza robo tatu ya wanachama wake na inaweza kuwa ndio mwisho wa siasa za upinzani Tanzania hadi generation nyingine,kwani watu wanachokichukia na ambacho kimewafanya wahamie upinzinzani kitakuwa hakipo kabisa,hii itakuwa ni highest degree of the betrayal of the people's trust.

Kilicho wafanya watu waamie cdm kutoka ccm sio ufisadi,no,ni uonevu,uongozi mbovu na uminywaji wa demokrasia
 
Back
Top Bottom