Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niwahi siti ya mbele kucheki move.
Hahahaa ngoja nijiandae mbavu zangu kabisa kwa majibu atakayokupa GENTAMYCINE
Thread closed
Mbowe alisema lowasa ni bubu leo anakuwa mgombea???
masista duu mna shida,nikikupa muhindi wa kuchoma barabarani hutaki,pop corn sinema mnataka!Nami nimekuja na popcon tuicheki pamoja mh!
Quote: mhe. Mwijage
ukikakaa karibu na uwaridi utanukia tu!
Lowasa ndani ya CDM atakua msafi classic baby
Quote: mhe. Mwijage
ukikakaa karibu na uwaridi utanukia tu!
Lowasa ndani ya CDM atakua msafi classic baby
ukiambiwa utoe japo ushahidi mmoja tu kuwa lowasa amehusika na ufisadi wowote je utaweza kutoa?
Wote hao unaowasema hawakuwa na kasfa yoyote,ni wazi CHADEMA ikimpokea itapoteza robo tatu ya wanachama wake na inaweza kuwa ndio mwisho wa siasa za upinzani Tanzania hadi generation nyingine,kwani watu wanachokichukia na ambacho kimewafanya wahamie upinzinzani kitakuwa hakipo kabisa,hii itakuwa ni highest degree of the betrayal of the people's trust.