Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Nilikuwa mtiifu mkuu wa CHADEMA, Nililia kwasababu ya CHADEMA ila kinachotekea sasa naona kama vile maigizo tena kwa wasanii wa Bongo Movie…!!!
-Toka lini Lowasa uliihitaji CHADEMA?
-Kwanini nisiamini uchu na tamaa yako ya madaraka ndio iliyokutoa CCM na nakuja CHADEMA?
-Lowasa ulietuhumiwa katuka kashfa za uuzwaji wa lanch ya taifa…!!, Mvua za Thailand na Richmond pia leo kirahisi tu unatujibu watanzania mwenye ushahidi apeleke mahakaman…??
Mh Chenge aka macho ya Nyoka(Tiga Mumba) karibia kila dili alipiga pesa na mihamala ilionekana mfano ESCROW hajawah fikishwa mahakamani na CCM haohao leo sembuse wewe uliowah kuwa Waziri mkuu…!!??
Mh. Lowassa juzi nilikusikia unashangaa muuliza maswali eti ulistahili kupewa TUZO kwa kujiuzulu…!! Hivi umeona watanzania ni matahila kiasi gani mpaka utuambie upewe tuzo?
Mh. Lowassa nguvu kubwa uliitumia ukiwa CCM na mapesa ukamwaga ukiwa CCM umekosa hiyo chance ya kupeperusha bendela unakuja CHADEMA? Utaendeleza umwagaji hela? Utatumia nguvu ileile? Hivi ni nani alikuambia usipokuwa raisi wewe 2015 Tanzania itakufa?
Mh. Mbowe - hakika nilikuamini sana kuwa mtu mwenye misimamo ya thabiti hupendi masihala ila sasa nimekata tamaa naww kabisa, ingekuwa zile nchi zilizoendelea na kukomaa kisiasa bas leo wanchi wangekisa imani na chama chako na wewe mwenyewe maana umewauza wanachama kwa fisadi papa…!!!
Mh. Mbowe hivi uliwahi jiuliza kwanini Lowasa anautaka urahisi kwa nguvu zote hizo?
Mh. Slaa hakika wewe ni mwanasiasa pekee ambae utaishi katika roho yangu, ki ukweli nitakukumbuka kwa mengi kwa siasa zako komavu na zilizo bora ila ushauri wangu kwasasa ACHANA NA SIASA HIZI ZA KITANZANIA maana zakwako si za kiwango hiki.
-Toka lini Lowasa uliihitaji CHADEMA?
-Kwanini nisiamini uchu na tamaa yako ya madaraka ndio iliyokutoa CCM na nakuja CHADEMA?
-Lowasa ulietuhumiwa katuka kashfa za uuzwaji wa lanch ya taifa…!!, Mvua za Thailand na Richmond pia leo kirahisi tu unatujibu watanzania mwenye ushahidi apeleke mahakaman…??
Mh Chenge aka macho ya Nyoka(Tiga Mumba) karibia kila dili alipiga pesa na mihamala ilionekana mfano ESCROW hajawah fikishwa mahakamani na CCM haohao leo sembuse wewe uliowah kuwa Waziri mkuu…!!??
Mh. Lowassa juzi nilikusikia unashangaa muuliza maswali eti ulistahili kupewa TUZO kwa kujiuzulu…!! Hivi umeona watanzania ni matahila kiasi gani mpaka utuambie upewe tuzo?
Mh. Lowassa nguvu kubwa uliitumia ukiwa CCM na mapesa ukamwaga ukiwa CCM umekosa hiyo chance ya kupeperusha bendela unakuja CHADEMA? Utaendeleza umwagaji hela? Utatumia nguvu ileile? Hivi ni nani alikuambia usipokuwa raisi wewe 2015 Tanzania itakufa?
Mh. Mbowe - hakika nilikuamini sana kuwa mtu mwenye misimamo ya thabiti hupendi masihala ila sasa nimekata tamaa naww kabisa, ingekuwa zile nchi zilizoendelea na kukomaa kisiasa bas leo wanchi wangekisa imani na chama chako na wewe mwenyewe maana umewauza wanachama kwa fisadi papa…!!!
Mh. Mbowe hivi uliwahi jiuliza kwanini Lowasa anautaka urahisi kwa nguvu zote hizo?
Mh. Slaa hakika wewe ni mwanasiasa pekee ambae utaishi katika roho yangu, ki ukweli nitakukumbuka kwa mengi kwa siasa zako komavu na zilizo bora ila ushauri wangu kwasasa ACHANA NA SIASA HIZI ZA KITANZANIA maana zakwako si za kiwango hiki.