Duh noma sana sasa mbona huandikwa na magazeti ka malikia wa nguvu na mpambanajiAlikua punda Sana'a tu hata baba first born alikamatwa kwa mambo hizo shoooo!!!tena yule na mama deladela ndo lao moja walikua wanabeba kwa boss mmoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe director ni Mogul kwenye hyo biashara ya unga wa donaYule ni mpigaji mkuu...tena huyo dairekita dela ndio hatari ni zungu la sembe li mogul! We huoni wadada wa mjini wanavyoshoboka kwake.
Duh noma sana sasa mbona huandikwa na magazeti ka malikia wa nguvu na mpambanaji
Kumbe director ni Mogul kwenye hyo biashara ya unga wa dona
Kama Machache kapita Plus kuwa punda basi huyo kashindikana kwa tabia.
Alifanyaje had wakatandikana risali hadharani?
Hata kama ana mapungufu yake ya kutokua mchoyo,,lkn naona kama anajielewa sana tofauti na kina kalaja na mwenzie uwoaJokate ana Bonge la Shule Arusha (Eneo la Maji ya Chai)
N kama ela za madalali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo hela za KUHONGWA Ni Kama pepo ukizipata zinaanza kukuwasha,unaanza KUfiKIRIA kufinalize last assignment slay queen show off nyingi... WACHACHE SANA NI WAWILI KATI YA 100 NDO WANAPIGA HATUA
Wewe rijali unafata nn huku kwa mahanith?Umekosa kitu kabisaaaaa cha kuwaletea watanzani ili kiwasaidie kimawazo ukaleta hii habari,wewe si hanithi
Noma likwelikweNi kweli alikuwa analiwa,,, sifa zake uwe mgumu.
Hapendi waramba midomo
Yangu wazi mama leta izo codeNyie watu mnafunga inbox mfyyuuuuuu!!!mnaogopa kutongozwa uzeee huu!wit,cariha na wengineo![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna mkuu n kuwaombea tuu,,kuna kina safe j na wahuni sasa sijui kama watapona kote huko.Bora ww una binti mmoja Mimi nina mabinti 4 visu nikiangalia na hii mishenzi ya mjini nabaki najiinamia nashika tama!!
Safe j anakaa Tu shda za dunia YuleHakuna namna mkuu n kuwaombea tuu,,kuna kina safe j na wahuni sasa sijui kama watapona kote huko.
Ok ok okEx wa ex wa [emoji184][emoji184][emoji184][emoji184][emoji184][emoji184][emoji184][emoji184]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma rangeKumbe director ni Mogul kwenye hyo biashara ya unga wa dona
Walitajwa wengi tu kipnd kile na mostly ilikua ni ukweli ila sikuonaga jina la true girl maana nae kapiga sana hizo misheNdio biashara iliyomtoa mbona...sema mmbea mwenzangu na ww huna kumbukumbu mbn ht kpnd kile cha bashite ile opareshen fichua wauza dona alitajwa na karandonga alikwea
Afu wanasema ana mtoto mkubwa tuNi kweli alikuwa analiwa,,, sifa zake uwe mgumu.
Hapendi waramba midomo
Anayeuza kipodozi cha la vistaMuiraq natoka patupu nifungulieni code
Huyu ni yule mwenye jina kama ile taasisi ya Serikali inayosajiri vizazi na vifo??Kama Machache kapita Plus kuwa punda basi huyo kashindikana kwa tabia.
Alifanyaje had wakatandikana risali hadharani?
Kichaa kama wewe usiye na dira ndiyo unakuja humu na upo kujadili maisha ya watu kachukue basi nafasi yake huko dubai kama unaona anafaidiPeleka kitobo mbele ukadai katiba mpya, ongoza njia ya Ikulu we shababi [emoji23] usiwatukane watu ambao wanafurahia maisha yao humu!
Muuzu kitimoto na vipodozi!Huyu ni yule mwenye jina kama ile taasisi ya Serikali inayosajiri vizazi na vifo??