Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Tatizo hela za KUHONGWA Ni Kama pepo ukizipata zinaanza kukuwasha,unaanza KUfiKIRIA kufinalize last assignment slay queen show off nyingi... WACHACHE SANA NI WAWILI KATI YA 100 NDO WANAPIGA HATUA
N kama ela za madalali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbe director ni Mogul kwenye hyo biashara ya unga wa dona
Kingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma range
 
Peleka kitobo mbele ukadai katiba mpya, ongoza njia ya Ikulu we shababi [emoji23] usiwatukane watu ambao wanafurahia maisha yao humu!
Kichaa kama wewe usiye na dira ndiyo unakuja humu na upo kujadili maisha ya watu kachukue basi nafasi yake huko dubai kama unaona anafaidi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…