cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Duh noma sana sasa mbona huandikwa na magazeti ka malikia wa nguvu na mpambanajiAlikua punda Sana'a tu hata baba first born alikamatwa kwa mambo hizo shoooo!!!tena yule na mama deladela ndo lao moja walikua wanabeba kwa boss mmoja!
Sent using Jamii Forums mobile app