Mambo magumu kitaa ndo raha ya kuondoka sehemu kwa uzuri!afu yule kwao wachamungu sana,yeye tu ndo anaonekana kapinda fadhhoom!!Ndo mana ss hv amerud tena redioni kutangaza.
mr singeli hataki ukaribu na bongo movie kwa wife akeNtmn nijue pia sbb iliyowafanya ushost ufe, mana walikua km ndg wale
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]wanja wa sina bwanaaa unaitwa uleeemnamuongelea yule dada mwenye wanja kama njia panda ya ulaya?
Yule naskia mshirikina mnnooo kwahiyo atamharibia Cv malkia
Wanja wa kamatia chini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]wanja wa sina bwanaaa unaitwa uleee
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mama yake ananifaa kwa matumizi kabisaNdeeeefu na duka juuu!mobeto kids corner.....!!!!chezea mtoto wa mbagala kutokea tandika secondary akaachwa chaliiii!!Ulimi njeee!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!tupaa kuleeee
Rough road ndio uniwababe,watu wanafumua chemba tuMtoto wa uswahili huyo atakuwa anajituma kama anasaka medali olimpiki
Kingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma range
Walitajwa wengi tu kipnd kile na mostly ilikua ni ukweli ila sikuonaga jina la true girl maana nae kapiga sana hizo mishe
Kumbe yuko vizuri na kwa connection za life yule,it seems kina wema wameuzwa sana basi tu kichwa panzi, hata bintiye director kazaa na yule wa GSM kitoto kimefanana na baba yake hatari
Mimi ndio maana hawa wanaojifamya wame hustle ni uongo daily vacation kwa kuuza kitimoto hichi hichi au kuna jingine?
Duh maskini aliyeuliwa ila sikuhizi mdada kajinenepea zake inaonyesha uhuni kaacha
Yule wa kwetu kabisaa bwana Singeli nawafahamu uzurii kabisaa mpk kijijini kwao ila kamjengea mama ake bonge la jumbaa pale kijijini ile nyumba nzuriiii kuliko yote ni ya Mr.Singeli!Yule naskia mshirikina mnnooo kwahiyo atamharibia Cv malkiaWanja wa kamatia chini [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yule mama yake ananifaa kwa matumizi kabisa
Kinaitwa bata point, kibenten kile afu alikua anaigiza karma na wema[emoji23] pia si ndo kazaa nae yule mtoto wa kiumeHalafu director alitengana na mmewe ujue akawa anadate na kikaka nimesahau jina lake...juzi hapa naskia karudisha majeshi kwa mzee baba! Nilichoka yaani hawa wadada hawajielewagi mnoo...wanataka kuolewa kwenda kuona mkato wa chumba tu,siku mbili wanaendeleza kudanga uhuni wao mtu umeolewa kutulia hutaki chaahh
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaroga hatariiiiiWanafiki tu wawe wanasemaga ukweli wa Mapito yao wanafanya watu wakate tamaa...plus ulozi jamani wadada walozi celebrity hawa balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyohuyo, halafu kuna kpnd huyo mapumziko zilikuwa haziivi na sista akeCode nyepesi sana hii japo sikuona ilipoanzia huyu ni dada “mapumziko” yule anaependa kuji baecation na kajamaa kake kalikofeli mambo ya sheria [emoji23][emoji23][emoji23]
Na huwa malkia anachezea mbataa km zote
Kumbe ndo mna ushost ukafa loh
Siku hiz full kujitanda na mishungiMambo magumu kitaa ndo raha ya kuondoka sehemu kwa uzuri!afu yule kwao wachamungu sana,yeye tu ndo anaonekana kapinda fadhhoom!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na alisema atarekebisha hizo nyus zake mana waja mnamsema sn[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]wanja wa sina bwanaaa unaitwa uleee
Sent using Jamii Forums mobile app