Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo hapo sasa et alikua
Anaona ugumu kwenda home na kurudi jion
Sasa anakua anaenda Kwa mchiz
Kupga story na wenzake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Walikua wanadate
Heheheheh Quick rocka mtu wa madem sana kwa haraka tu ni mtu wa nyama za binadamu😂 so kumla ni pie
 
Yah mbinu chafu na mpaka upate mtu akupe line ya maana [emoji23][emoji23][emoji23] wengi wanawahigi wakiingia kwenye chain ya ngano! Ila kinyume na hapo utasaga lami tu
Sahihi aisee maisha sio lelemama
 
Hahahahah kumbe muuza kitimoto wa “Mapumziko Park” nae ni muuza ngano tu pia [emoji23][emoji23][emoji23] yani kwa maisha yapi yale mara wako “Bali” mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?
Show off huwa zina wa cost hawa viumbe pia hu attract hivo eyes, hawana Siri kabisa hafu biashara zao haram
 
Yes unaweza kurithi UTAJIRI ndo kuupata ishu itakuja kwenye kuumiliki YAANI KUULINDA INATEGEMEA na upatikanaji wake yaan source yake ulipatikana vipi...Kama njia safe Basi utaulinda kwa njia hizo safe Kama njia mbaya the same...
Na bongo hii watu kuufamya utajiri uwe na sustainability huwa ngumu wa Asia ndio huweza
 
Ulaaniwe mwenyewe kwa kuwa mjinga na kutaka watu wajadili utakacho kuwa eti ni kipimo cha akili. Laana yako fake ikupate wewe na kizazi chako
 
Na bi mkubwa akifa ndio downfall
 
Zenji kila baada ya wiki mbili na familia nzima..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi ile nyumba alipostigi anajenga ilishaisha?
Ingeisha angeshatu postia hyo nyumba, nakumbuka aliumbuliwa na pazia lile lile tu siku zote compared to show off
 
Si kama Beyonce kwa jigaa...daah wale watoto midomo, miguu na pua yote ya Jay

Hakuna mtoto ambae kidogo kaja kwa bey
Wana nyusi za bey wale yaani paji la uso ni hey mtupu ila vingine vyote vya jiga
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…