Yule mama nuksi haoni shida kuwagongea nane usiku halafu hana hata cha maana anachohitaji kwa mwanawe...na akiona mwanawe anaanza kufall tu anatengeneza zengwe mpk mnaachana
Kama bosslady baada ya kuona kijana atanogewa akaambiwa mobeto abebe mimba,baadae mobeto nae akasalitiwa alivoona mkaka bado anakomaa na mama watano akaenda south alichoenda kufanya anajua mwenyewe ila alivorudi tu UA jeusi likatawala na mambo yakaishia hapo.
Yule kaka hawezi oa mpk bimkubwa ake afe
Sent using
Jamii Forums mobile app