Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo hapo sasa et alikua
Anaona ugumu kwenda home na kurudi jion
Sasa anakua anaenda Kwa mchiz
Kupga story na wenzake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Walikua wanadate
Heheheheh Quick rocka mtu wa madem sana kwa haraka tu ni mtu wa nyama za binadamu😂 so kumla ni pie
 
Hahahahah kumbe muuza kitimoto wa “Mapumziko Park” nae ni muuza ngano tu pia [emoji23][emoji23][emoji23] yani kwa maisha yapi yale mara wako “Bali” mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?
Show off huwa zina wa cost hawa viumbe pia hu attract hivo eyes, hawana Siri kabisa hafu biashara zao haram
 
Yes unaweza kurithi UTAJIRI ndo kuupata ishu itakuja kwenye kuumiliki YAANI KUULINDA INATEGEMEA na upatikanaji wake yaan source yake ulipatikana vipi...Kama njia safe Basi utaulinda kwa njia hizo safe Kama njia mbaya the same...
Na bongo hii watu kuufamya utajiri uwe na sustainability huwa ngumu wa Asia ndio huweza
 
Uzi wa wapumbavu na kwa ujinga huu ccm ndio furaha yao kwasababu hamuwasumbui kuwaza hatma yenu na ya vizazi vyenu ambayo wao ccm hawataki muijadili wanafurahi wakiona mnajadili maisha ya watu hivyo Basi nyie wote mnaochangia Uzi huu mlaaniwe na ni wasaliti wa vizazi vyenu vijavyo.
Ulaaniwe mwenyewe kwa kuwa mjinga na kutaka watu wajadili utakacho kuwa eti ni kipimo cha akili. Laana yako fake ikupate wewe na kizazi chako
 
Yule mama nuksi haoni shida kuwagongea nane usiku halafu hana hata cha maana anachohitaji kwa mwanawe...na akiona mwanawe anaanza kufall tu anatengeneza zengwe mpk mnaachana
Kama bosslady baada ya kuona kijana atanogewa akaambiwa mobeto abebe mimba,baadae mobeto nae akasalitiwa alivoona mkaka bado anakomaa na mama watano akaenda south alichoenda kufanya anajua mwenyewe ila alivorudi tu UA jeusi likatawala na mambo yakaishia hapo.
Yule kaka hawezi oa mpk bimkubwa ake afe

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bi mkubwa akifa ndio downfall
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom