Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kajala amezoea kuhongwa mambo ya kupika hawezi kabisa na Sasa wanaishi kwa stress na madeni imebidi tu paula aanze kudanga wapate kodi
Kajala kiasili ni mvivu mwili wake ndo mtaji wake,naona sasa hivi anaishi kwa hisani ya Paula unaambiwa anamdalalia mpk 20m watu wanapanda dau mama mtu anakula mdananda kwa mwanawe.

Hata mastaa wenziwe wanamshaangaaa mnooo!ndo maana bday ya Paula wengi hawakwenda waliona haya
 
[emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-box anapunguzia wazungu weupe.
[emoji23][emoji23]Eti shishi naye wakusumbua mtu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani mjini nyotaaa!wadada wanaroga Walee balaaaa!!!Yaani machawa wao wanavoongea weee!kuna mmoja huyooo mganga wao balaaaa!
 
Sasa Diana si alikuwa hapendwi angefanyaje?[emoji848]
 
Dhuuuu sasa rayvan pale n kama
Anasukuma genge watu wakifika dau
Mtoto anaenda
 
Wema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...

Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
Shost yangu nimekumiss sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…