joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Steve yupo vizuri ukuadi na uchawa wa wanasiasa na matajiri umemlipa, 2016 jamaa alikuwa ana malizia nyumba yake maeneo ya kawe plus alikuwa anasukuma Prado, we unazani kummiliki Wellu swala dogo,alikuwa ana mgharamia kila kitu mpakausafiri alimnunulia.Mwingine n Kaka Yao Steve miaka nenda
Rudi anashindwa kuweka hata Ka busi
Mahali sasa anangojea uteuz uteuz
Wanapewa bakshi shi hawauziNikiwa shuleni niliwahi kuwa connector wa warembo flani lkn sikuwa nikipokea chochote, siwezi kuuza binadamu kamwe
Nini binti mwenyewesere jf[emoji16]Ha ha ha wee jamaa bana[emoji16][emoji16]
Niunge kwa Fayvanny basi nikupe bakshishi, nataka nimwondolee stress huyo binti[emoji16]Wanapewa bakshi shi hawauzi
Mondi kwa Wema baasi tena anahaha tu!anajutaa kukata utumboKtk mademu mangese mjini linyumbu linaongoza...lile zezeta asee[emoji848]
Bad enough eti limekata utumbo kushindana na hamisa shape ili domo alirudie aaah wapi Domo akapita hivi skeleton anaipeleka wapi[emoji22]
Kale kademu kanaishi kwa kachild sapoti then kanajipa moyo kua vanboi atakarudia,mbwembwe zote kushneiiiii!!!![emoji6][emoji6][emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]ana stress yule alivokua anajishauaaa!Niunge kwa Fayvanny basi nikupe bakshishi, nataka nimwondolee stress huyo binti[emoji16]
Fayvann hataki kupoteza child support ya Rayvann hataki hata kuchafua CV, amempiga Ibra zinga la fullstop.Niunge kwa Fayvanny basi nikupe bakshishi, nataka nimwondolee stress huyo binti[emoji16]
Fanya kweli basi?Kale kademu kanaishi kwa kachild sapoti then kanajipa moyo kua vanboi atakarudia,mbwembwe zote kushneiiiii!!!![emoji6][emoji6][emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]ana stress yule alivokua anajishauaaa!
Atalia km mbuzi maji ataita mma!ngoja tu...Paula anamlia mingo tu maana ray si wanataka wasomeshane certificate!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kama machawa
Wanapewa ubaloz wa kampuni
Mm nan nikatae na kaz ya udalali
N pesa ya haraka[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yani ray litamkuta kitu
Hata aamin na hiv pesa zikiisha
Mama anajua kabisa hapa kumechacha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Atakua anaona vumbi tu
Anataka mambo ya privateFayvann hataki kupoteza child support ya Rayvann hataki hata kuchafua CV, amempiga Ibra zinga la fullstop.
Hajakubali kuachwa demu na van boy anajifanya mlokole!mjane muaminifuuFanya kweli basi?
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]lkn hajatulia kichwaniHajakubali kuachwa demu na van boy anajifanya mlokole!mjane muaminifuu
Rayvan inaelekea alimuweza vizuri sana.Hajakubali kuachwa demu na van boy anajifanya mlokole!mjane muaminifuu
Hapo ndo wanamshikia rayUmeona eeehh!!!mjini akili Hata Mimi chawa kwa baadhi ya maeneo!!Atalia km mbuzi maji ataita mma!ngoja tu...Paula anamlia mingo tu maana ray si wanataka wasomeshane certificate!!!
Yule mwanamke bado anamtaka SanaAnataka mambo ya private
Pesa Tu Kwan kumridhisha yeye wa KwanzaRayvan inaelekea alimkuna vizuri sana.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Fanya kweli basi?
Eeeh stev you uchawa wake n kwaSteve yupo vizuri ukuadi na uchawa wa wanasiasa na matajiri umemlipa, 2016 jamaa alikuwa ana malizia nyumba yake maeneo ya kawe plus alikuwa anasukuma Prado, we unazani kummiliki Wellu swala dogo,alikuwa ana mgharamia kila kitu mpakausafiri alimnunulia.Ila alivyo ingia JPM alidrop sana labda sasa aanze tena michakato.
Ila Paula mzur Yule mshenz na ageHapo Ray anapita tu bado safari ni ndefu