Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Mwingine n Kaka Yao Steve miaka nenda
Rudi anashindwa kuweka hata Ka busi
Mahali sasa anangojea uteuz uteuz
Steve yupo vizuri ukuadi na uchawa wa wanasiasa na matajiri umemlipa, 2016 jamaa alikuwa ana malizia nyumba yake maeneo ya kawe plus alikuwa anasukuma Prado, we unazani kummiliki Wellu swala dogo,alikuwa ana mgharamia kila kitu mpakausafiri alimnunulia.

Ila alivyo ingia JPM alidrop sana labda sasa aanze tena michakato.
 
Umeona eeehh!!!mjini akili Hata Mimi chawa kwa baadhi ya maeneo!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kama machawa
Wanapewa ubaloz wa kampuni
Mm nan nikatae na kaz ya udalali
N pesa ya haraka[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Atalia km mbuzi maji ataita mma!ngoja tu...Paula anamlia mingo tu maana ray si wanataka wasomeshane certificate!!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yani ray litamkuta kitu
Hata aamin na hiv pesa zikiisha
Mama anajua kabisa hapa kumechacha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Atakua anaona vumbi tu
 
Steve yupo vizuri ukuadi na uchawa wa wanasiasa na matajiri umemlipa, 2016 jamaa alikuwa ana malizia nyumba yake maeneo ya kawe plus alikuwa anasukuma Prado, we unazani kummiliki Wellu swala dogo,alikuwa ana mgharamia kila kitu mpakausafiri alimnunulia.Ila alivyo ingia JPM alidrop sana labda sasa aanze tena michakato.
Eeeh stev you uchawa wake n kwa
Wanasiasa na huko ndo anavuna
Na kuwakuadia madem zake wa bongo movie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom