Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani

Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Hahahahah hivi Mrs. Nenga nae vipi ndio kwamba maji yalishamwagika ama wanaendelea na project zao za kiyunani 😅
 
Shilingi ya Nairobi iko juuu
Watadanga Kwa faida
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani

Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Ule moto ni hatari ...ni umesambaa kwenye nyasi sasa[emoji848][emoji848]
 
Nyie si mnaonaga K ni mtaji?
Kama una mume anakujali itulize papuch wanaume tuna visasi utajifia bure
Yaani yule dada wenziwe kwanza
Walikua wanamuonea choyo alivoolewa na kaka handsome na anajiweza
Pili alikua anapendwa mama kila kitu anapewa na watoto wake wanahudumiwa na baba wa watu
Unaolewa unaenda ishi kwenye lijumba la kifahari vileee

Sasa wanafurahia balaa wanamcheeekaaa wanasema akome kizee kile[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Aseee ni balaa

Ndo maana kapoaaa hataree, ila Tessy anakula vichwa yule demu mweeeh!
 
[emoji23][emoji23]wema ni kichwa Nazi an empty box
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…