cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ooh nimempataDada ake na basha la Aunt la zamani lililokuwa linambonda mpaka akamiscarriage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh nimempataDada ake na basha la Aunt la zamani lililokuwa linambonda mpaka akamiscarriage
[emoji23][emoji23]Wanauza nyama kishenzi [emoji28]
Hahahahah hivi Mrs. Nenga nae vipi ndio kwamba maji yalishamwagika ama wanaendelea na project zao za kiyunani 😅[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani
Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Kwanza kaliwa saaana na watu wa tip top connection huyuu!!hana lolote!Yes hii malikia wa nguvu huwa nikudaganyana tu huyo shishi kafungua had mgawaha idodomiya huko ndio maana uchebe alimdunda
[emoji23][emoji23]Wema amekuwa kama fido dido[emoji28]
Shilingi ya Nairobi iko juuuKanuni za umbea Kwanzaa unapaswa kuwajua watu maarufu wengi sanaa!
Yaani@wit kaifungua fastaaa mpk nimeinjoi wewe unataka nimtaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]pambana Leo!Kwaniii!!Si ndo wanaelekea huko sasa!!!mama na mwana wameenda Nairobi kudangaa!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hujaona P na K
Ule moto ni hatari ...ni umesambaa kwenye nyasi sasa[emoji848][emoji848][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa Acha kabsa
Mwamba hakuna anakopesha dam yani
Hapo ndo mama juju alichoka
Baada yakuona sasa imezd
Maana Mrs nenga nae alikua ndan
Kupokea moto
Hata hivo hyo couple imeanza kuchacha mapema mnoSasa hivi maslay wako wengi ndo maana kwa hyo Pau atadoda mapema mnooo!!!!
Mkuu mnaufungua code mpo istagram na mnajua wasaniii wengi mimi najua wachache😀😀😀Katelefone inatosha tu kuelewa kuwa anazungumziwa P.M! Inaonesha somo la uraia lilikuwa gumu sana kwako 😅😅😅
Ila kwa ile Combo ya mama na mwana ndugu yetu Kinywele kimoja alikula hasara😅😅😅Shilingi ya Nairobi iko juuu
Watadanga Kwa faida
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Uko kona gani ya nchi rafikiMkuu mnaufungua code mpo istagram na mnajua wasaniii wengi mimi najua wachache[emoji3][emoji3][emoji3]
Whoz n kiranga chakeInaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake [emoji28][emoji28][emoji28] mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
Yaani yule dada wenziwe kwanzaNyie si mnaonaga K ni mtaji?
Kama una mume anakujali itulize papuch wanaume tuna visasi utajifia bure
Huyo ni kigogo wa serikalini bana wee😅 geuza katelefone kuwa lugha ya taifa utaelewa!Mkuu mnaufungua code mpo istagram na mnajua wasaniii wengi mimi najua wachache😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaKa [emoji336][emoji336][emoji336] [emoji338][emoji338][emoji338] kumbe ni mbaya?? Ila acha tu wawatafune! Maana wao wanaamini mbususu ndiyo inaweza kuwatoa kimaisha! Kumbe kuna wakati wahafidhina,hua wanaichakata tu,nakuiacha inasoma odometer za kwenda kua chakafu huko
Aseee ni balaaShoooga sio kila handsome free p au mariooo!!jamaa zipo vzr..
Bimkubwa yule hakutaka kutandika daruga la kudanga chini kama wenziwe baada ya kupata wa kumstiri...sasa sijui Mme kibamia[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]!!!akawa anapiga ndodo km kawa....!mshikaji akaskia tena kafumaniwa na mcheza mpiraaa [emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]wa timu ya.....Siitaji ng'ooooo. ...ila hizi 3 kubwaa!tena ndani kwa mshikaji!Hapo kuna msamaha tena?
Mmama hajielewi yule balaaaa!kaachwa na katoto!
Ndo bwamkaka yuko na Tessy!kwa sasa
[emoji23][emoji23]wema ni kichwa Nazi an empty boxEwaaaa umepata kabisaaa!!!Karma naskia hajampa hata 100% na anamsainishaga mikataba ya kichif mangungoo!!kila kitu yeye mwenziwe hapati kitu!!upooo nyonyo?!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]mpk wale matwins ye ndo alikua anawalea!!!mshenzi yule dada mnooo!!!
Niko nje ya Tz mkuuUko kona gani ya nchi rafiki
Mnooo!kawalaaa mweeeehhh!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]....kisa kisa cha ugomvi wa Zama na Ray C ni hayatiNdio maana hayati mkurugenzi mtendaji pale mawingu alikuwa anawapelekea moto tu na kuwasainisha THT
Saaafi kabisaaa!umekidhi vigezo vya umbea vyoteee!!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!hahahahaahaHapo nimekuelewa vizuri and clear Asante kwa udadavuzi