reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Mi nshaelewa hapo kawe ni kawekwaa serikalini!Mkuu hebu tulia upangilie vizuri....udaku wako mtamuu sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nshaelewa hapo kawe ni kawekwaa serikalini!Mkuu hebu tulia upangilie vizuri....udaku wako mtamuu sanaa
Kuisha kupo wahuni 😅😅😅
😋😋😋😋😋😋Nadhani cushion loh
Hahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala😅??? Bora angekuwa hata kapanga MasakiHahahhh!hakai chamazi anakaa mbagala kuu then anadanganya anakaa kigamboni![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!Yaani wenzake wanamcheka balaaaa!!!wanadai kafulia ndo maana kahamia mbagala!kupunguza ruti za kuja mjini kula bata
Ila mshepu wa unyanyembe kabisa walah!Uwoya ni mchaga baba,mama mnyamwezi wa tabora amechukua akili za wanyamwezi hana akili za kichaga hata kidogo!
Yani mtu kapanga mbagala unajiuliza why hajapanga masaki? Huyo CK mwenyewe aliishia makumbusho hata morocco hakutosha[emoji23]Hahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala[emoji28]??? Bora angekuwa hata kapanga Masaki
Bila shaka ni yule bishoo macho ma 4 mwenye shepu ya Jei Bii😅😅😅Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
Masaki mchezo. Si bora hata useme bunju kuna nyumba kule za bei nafuu. Mbagala kumekaa kushoto sanaHahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala[emoji28]??? Bora angekuwa hata kapanga Masaki
Ila zile zama za Msoga Empire watu walimenya sana Life! Yani kulikuwa na aina flani ya maisha ambayo dah ni ngumu kuyaelezea😅!!!Yani mtu kapanga mbagala unajiuliza why hajapanga masaki? Huyo CK mwenyewe aliishia makumbusho hata morocco hakutosha[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]daah!!!Inaonekana anapenda vitu vya mtumba
Kuna mtu alinishawishi nikaangalie makazi kule! Baada ya siku ile nilikata mawasiliano naye 😅😅😅Masaki mchezo. Si bora hata useme bunju kuna nyumba kule za bei nafuu. Mbagala kumekaa kushoto sana
Mzee alikuwa anapokea Magari tu kama zawadi za bethdei😅 mie nikiwa Ushirikani pale maana mzee alikuwa staff katika ile taasisi!Mbona kitambo hyooo!!;ya maflower kuliwaa!!!DC yasemekana mpk late father wake alienda kumuomba aachd kumkaza mwanawe!!
Kabisaaa yaani wanawake wao hawataki mbwembwe ndo maana wanahonga sanaa...kuna shida pahalaa kwa me haoHahahahah wanasema account ikiwa na mipunga ya maana nguvu za kiume si tatizo[emoji28] mbinu ni nyingi!
Uko sahihi 109%Tafta pesa uwe nazo uone kama utalalamika
Nguvu za kiume hakuna[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dr mwaka aliwagonga Sana aisee
Kipindi kile alivuma
Mbagala?Kuna mtu alinishawishi nikaangalie makazi kule! Baada ya siku ile nilikata mawasiliano naye [emoji28][emoji28][emoji28]
Dogo mshamba😅 angejiweka classy kama Lulu angeishia pazuri! Kujivunia kupigwa mashine na mshika mic toka “Mkwajuni Village” Chunya ni umandaziHafu Paula hajakuta umaarufu wa wema hata robo couple yenyewe imeanza kudoda
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 nilikuwa napapita wakati napiga shule Maeneo ya kule! Nikaja enda panda basi za kwenda kusini mwa nchi!Mbagala?
Mie na kukaa miaka yote dar nilienda mbagala mara moja na sikurudi tena