Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hahahhh!hakai chamazi anakaa mbagala kuu then anadanganya anakaa kigamboni![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!Yaani wenzake wanamcheka balaaaa!!!wanadai kafulia ndo maana kahamia mbagala!kupunguza ruti za kuja mjini kula bata
Hahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala😅??? Bora angekuwa hata kapanga Masaki
 
Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!
Bila shaka ni yule bishoo macho ma 4 mwenye shepu ya Jei Bii😅😅😅
 
Yani mtu kapanga mbagala unajiuliza why hajapanga masaki? Huyo CK mwenyewe aliishia makumbusho hata morocco hakutosha[emoji23]
Ila zile zama za Msoga Empire watu walimenya sana Life! Yani kulikuwa na aina flani ya maisha ambayo dah ni ngumu kuyaelezea😅!!!

Kila mtu aliekuwa mkabala na wana Mboga mboga alipiga life ikafikia watu wakahisi kuwa yale maisha yatadumu milele kumbe hata bao huisha utamu likishatoka lote!
 
Mbona kitambo hyooo!!;ya maflower kuliwaa!!!DC yasemekana mpk late father wake alienda kumuomba aachd kumkaza mwanawe!!
Mzee alikuwa anapokea Magari tu kama zawadi za bethdei😅 mie nikiwa Ushirikani pale maana mzee alikuwa staff katika ile taasisi!

Kumbe ni kwa hisani ya mzee machache 😅😅😅
 
Mbagala?
Mie na kukaa miaka yote dar nilienda mbagala mara moja na sikurudi tena
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 nilikuwa napapita wakati napiga shule Maeneo ya kule! Nikaja enda panda basi za kwenda kusini mwa nchi!
Mbali na hapo ndio nilipelekwa na mtu sikupapenda hata kidogo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom