Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Leo nimegundua kumbe na mimi mpana. Yani code nyingi nimeshangaa watu wanahangaika mie nazipata kirahis. Inabid nibadilike [emoji38]
Kaz ya ntu ni Ile amezoe[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kaz ya ntu ni Ile amezoe[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] jamani. Inabid nitafute dawa ya kubadilika chaaaa
 
Unaweza futa ig lakin mambo yakakufuata huku. Kufuta JF haiwezekani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]taabu ndo iko hapo

Mtu tukikosa bundle la kuingia jf tunaumwa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hakuna G5 wala G7 mwenye mizizi kakata baasi kila mtu na lwake!
Ukiskia kwa shida na raha ndio hio sasa😅! Lazma itafikia wakati mtambue kwamba hata dagaa nae ni mboga kama Sato tu sema mnofu ndio hajabarikiwa na mchicha sio chakula cha mbuzi!
 
Katele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]woiiiii!!!hureeeee!!!!ahsante studiooo!baasi ukute nae ana minyenyere etiii!!!duuhh!dada dekiii!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom