Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu alinishawishi nikaangalie makazi kule! Baada ya siku ile nilikata mawasiliano naye [emoji28][emoji28][emoji28]
Masaki mchezo? Kuna mtu aliniambia ana m800 nikamtafutie nyumba ya kununua nikajua hapa lazima nitoboe kamisheni nipate hata crown, nilimaliza soli pea za kutosha sikuambulia kitu.
 
Masaki mchezo? Kuna mtu aliniambia ana m800 nikamtafutie nyumba ya kununua nikajua hapa lazima nitoboe kamisheni nipate hata crown, nilimaliza soli pea za kutosha sikuambulia kitu.
Hahahahahhaha ana 800million angepata self tu ya chumba sebule choo nje😅😅😅!!!

Nimecheka sana mkuu ulipata mhaho ghafla baada ya kumaliza soli ukatoka kapa!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa napapita wakati napiga shule Maeneo ya kule! Nikaja enda panda basi za kwenda kusini mwa nchi!
Mbali na hapo ndio nilipelekwa na mtu sikupapenda hata kidogo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] sasa ndio wema ameenda huko jaman mpk huruma. Sijui nmpangishe mahali
 
Dogo mshamba[emoji28] angejiweka classy kama Lulu angeishia pazuri! Kujivunia kupigwa mashine na mshika mic toka “Mkwajuni Village” Chunya ni umandazi
Chunya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Yani kwa maisha yao wale sijui hawanaga washauri wazuri! Yani akili ya kununua hata kiwanja kimoja hawanaga...Wanawaza pochi za Prada na Dior tu [emoji28][emoji28][emoji28]!

Na kupiga mapicha mahotelini[emoji28]
Hela umayoipata kirahis hata matumizi yake ni marahisi. Au masharti ya waganga kwamba usifanye ya maana utumie tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom