Masaki mchezo? Kuna mtu aliniambia ana m800 nikamtafutie nyumba ya kununua nikajua hapa lazima nitoboe kamisheni nipate hata crown, nilimaliza soli pea za kutosha sikuambulia kitu.Kuna mtu alinishawishi nikaangalie makazi kule! Baada ya siku ile nilikata mawasiliano naye [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahahahhaha ana 800million angepata self tu ya chumba sebule choo njeπ π π !!!Masaki mchezo? Kuna mtu aliniambia ana m800 nikamtafutie nyumba ya kununua nikajua hapa lazima nitoboe kamisheni nipate hata crown, nilimaliza soli pea za kutosha sikuambulia kitu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] sasa ndio wema ameenda huko jaman mpk huruma. Sijui nmpangishe mahali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa napapita wakati napiga shule Maeneo ya kule! Nikaja enda panda basi za kwenda kusini mwa nchi!
Mbali na hapo ndio nilipelekwa na mtu sikupapenda hata kidogo
Yani kwa maisha yao wale sijui hawanaga washauri wazuri! Yani akili ya kununua hata kiwanja kimoja hawanaga...Wanawaza pochi za Prada na Dior tu π π π ![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] sasa ndio wema ameenda huko jaman mpk huruma. Sijui nmpangishe mahali
Chunya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Dogo mshamba[emoji28] angejiweka classy kama Lulu angeishia pazuri! Kujivunia kupigwa mashine na mshika mic toka βMkwajuni Villageβ Chunya ni umandazi
Chunya huko mbeya vijijini kwa Wasafwa na WanyihaChina[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hivi hajua kuwa Vunja price ni mlozi?Ndeeeefu na duka juuu!mobeto kids corner.....!!!!chezea mtoto wa mbagala kutokea tandika secondary akaachwa chaliiii!!Ulimi njeee!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!tupaa kuleeee
Hela umayoipata kirahis hata matumizi yake ni marahisi. Au masharti ya waganga kwamba usifanye ya maana utumie tuYani kwa maisha yao wale sijui hawanaga washauri wazuri! Yani akili ya kununua hata kiwanja kimoja hawanaga...Wanawaza pochi za Prada na Dior tu [emoji28][emoji28][emoji28]!
Na kupiga mapicha mahotelini[emoji28]
Hahahahah siamini kama ni za masharti! Ukiwa hujazoea kutumia hela au kushika hela nyingi unakuwa addictedπ na matumizi ya vurugu pale unapozipatia mrija wenye flow ya mafuriko!Hela umayoipata kirahis hata matumizi yake ni marahisi. Au masharti ya waganga kwamba usifanye ya maana utumie tu
Sasa hiv hata anakana haijawahChunya huko mbeya vijijini kwa Wasafwa na Wanyiha
Hela shetani π katakata na kiyoyozi cha usafiniSasa hiv hata anakana haijawah
Kulima mchele[emoji1][emoji1]
Hiyo mbagara kuu anayokaa Wema mshawahi fika mbagara mnaichukulia poa ndugu mbagara kuu ni Masaki ndogo pako vizuri mnoKuna mtu alinishawishi nikaangalie makazi kule! Baada ya siku ile nilikata mawasiliano naye π π π
Naskia alikua anataka kupita HadiHivi hajua kuwa Vunja price ni mlozi?
Mbagala kuu ndio iko upande upi bibie? Mbele ya rangi 3 au nyumaHiyo mbagara kuu anayokaa Wema mshawahi fika mbagara mnaichukulia poa ndugu mbagara kuu ni Masaki ndogo pako vizuri mno
HahahaHiyo mbagara kuu anayokaa Wema mshawahi fika mbagara mnaichukulia poa ndugu mbagara kuu ni Masaki ndogo pako vizuri mno
Stivu anajua hana shule udananda ndo ajira yake!!!lazima aplay cards vyemaa...ila kuna saa anatamani kua demu![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ila ukiwa wakala
Wa hiz mbusus ukose hata kibanda kigamboni
C utakua wazimu
Tivu Ake yeye naona hakucheza
Vibaya alijanjaruka Sana[emoji1][emoji1][emoji1]
Siku sio nyingi unawakuta wakoHela shetani maniner[emoji28] katakata na kiyoyozi cha usafini
Inapakana na kigamboni niliwahi kwenda kwa ndugu nilipenda pametulia mnoMbagala kuu ndio iko upande upi bibie? Mbele ya rangi 3 au nyuma
ππHahaha