Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
DC naye kapita kwingi mno na alianza kula makitu akiwa udsm na alitembeza kwa ma lecturer had kupata first class pale. Na hyo kuzaa itakuwa anajijua status yake ndio maana huwa hasemi no kwa yoyote dah atawamaliza wanaume aisee.
Ukiona body utasema inadai 😅 chombo ya kwenda ila ukijitusu tu vimeumana😅😅😅
 
DC alianza na Mzee Machache,sasa unadhani hana?? Anakula mashudu kama kawaida! DC na urembo wote ule,haolewi, wala hazai!

Sasa DC hajawamwagia kweli wasanii wetu, Domo na Ndombolo! Plus yule jamaa mrefu na mwenye sauti kubwa kama anameza kaa la moto
Hahahahah yule Ngongoti anaonekana nae alikuwa kolo tu! Alivyopata viswaufu in dallaz akaona ajibinjue na mbegu ya kingoni ile na kwa uzoefu vifungashio vya Msd huwa tunatumia siku 3 za mwanzo!

Muendelezo wa hapo ni acappella tu 😅😅😅
 
Wimbo bila ala, haha
 
Mjane na msikitikia kweli, kwa sasa anaishi kwenye mawazo na hajaambukizwa chochote tujifunze kuwekeza vyetu. Ila mashoga wamemkimbia mwenzao tabia mbaya hyo
Watabaki nae vip wakati kafulia, hana hela za freixnet sparkling wine[emoji16]
 
Hii ni kweli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…