Alikuwa vizuri na very classy flani hafu mzuri sema eti kuchepuka kulimfanya aachikeMadam Rita baba giriki na mama mkagame ujue
[emoji23][emoji23][emoji23]Si ukicheck tu sehemu anazosemekana kupita ni madude yaliyojazia haswa
Mobero kafanya liposuction huko turkey karudi mswabanda havai kigodoro[emoji28][emoji28][emoji28] Dah huu uzi balaa.... Picha za Hamisa za Sasa hivi zinavutia, japo sijakutana naye live hivi Karibuni.
Mtoto wa balozi hajielewi! Bora hata yule DC wetu wa uzaramuniIla wema kichwani ni empty set hafu eti alikuwa mtoto wa balozi nadhani kukosa shule kume mu cost big time Plus umaarufu na kukosa mtu wa kumu shape
Binti yake ni dada yako ujue kiumriAlikuwa vizuri na very classy flani hafu mzuri sema eti kuchepuka kulimfanya aachike
mfano kile kimelea cha mwaka 80 kikitupwa ghafla kwa mmbongo movie mmoja leo tu tutawazika kama kuku! Maana kilikuwa kinaondoka na batch kila baada ya miezi mitatu π π πAs long as anatumia dawa zake.... Mostly huwa wanakuwa salama kama wasio na ngoma.
Ngoma ingekuwa rahisi hivyo wengi sana wangeshaukwaa- Ila celebrities wengi ni wamoto, kuwa makini π
Alikuwa anauza mechi kumbeAlikuwa vizuri na very classy flani hafu mzuri sema eti kuchepuka kulimfanya aachike
Sura ya mjomba ila sauti ya malaikaKwani flowers ana tatizo gani mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Yule mwamba nae vipi anatumia miti miti kwenye biashara zake?Hivi hajua kuwa Vunja price ni mlozi?
Na wema ndio kamuinia Dai, wanachawiana hawaSi ndo kukosa exposure hawa wasanii ukitoka nao unapata gundu tu wema mwenyewe alianza kupoteza focus baada ya kuanza kutoka na diamond sasa nawaza hawa wasanii hulogana nyota au kitu gani?
YesAlikuwa anauza mechi kumbe
Atakuwa alimsapoti jiwe π π π maana humu ukionekana humuelewi yule Gaidi unapigwa BanAna ban moja takatifuuuuu!sijui aliyabananga wapii!!!
Yule si akina sanga? Unategemea nini?Yule mwamba nae vipi anatumia miti miti kwenye biashara zake?
Yes ujue kipindi wema alivoachana naye akawaga vizuri tu aliporud kwa dai akaharibikiwa mazima, mamake alisema dai alimchimbia wema kondoo mzima. Uchawi upoNa wema ndio kamuinia Dai, wanachawiana hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sura ya mjomba ila sauti ya malaika
Hahahahah Sangatiti Doctrines π wajukuu wa MkwawaYule si akina sanga? Unategemea nini?
Hahaaaa hakuna aliye salamaAisee huyu mzee naye ni wa hovyo dah hii nchi hii.
Hahahahah unakumbatia timed bomu huku umefumba machoπAisee kwanini umfate mgonjwa ukichubuka bahati mbaya siunakwaa aisee. Hata wanaotoka na wasanii ni ma risk taker ni sawa na kukumbatia bomu mda wowote tu linakupata