Staki miye ngoja siye tukomae tu wao wanakula Kodi zetu siye tunamalizana nao hapa....!!!Hapo chachaa
He hehe....katika mafalaa yule anaongozaa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Mamaamaaaaee!!!acha baasii![emoji3][emoji3][emoji3]wa kumpangia demu nyumba ga 28millions hahahahha kwa mwaka!daahhh
Hiii Kvant[emoji1787]Watoto wa mjini tunawajua nyie!mwendo wa maji ya gold tuuu....mpk kielewekee!!!!!hahahahhah!maisha mafupiii enjoiiiiiiii!!!!!!
Ana bahati sanaMungu alimpa kichwa halafu mzee wao alikuwa mtu wa system ndio watu ambao jiwe aliishi nao vizuri akawa anawafadhili
Yaani daahh!alikua mpenzi mtazamaji tu!!!mke wa marehemu ndo kila kituMchepuko hana thamani...pale ndo niliamini[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Wajue kuwa sisi wanyonge tunajua matendo yao ya kishetani[emoji22][emoji22]Staki miye ngoja siye tukomae tu wao wanakula Kodi zetu siye tunamalizana nao hapa....!!!
Na hamisa bora alitumia hayo mashambulizi kuwa na akili, na sasa mambo yananyooka I'm sure kina esma na mamake wamechukia walitaka azalilike mjiniMasimango ni booster nzuri sana kwa mtu mwenye akili, inakupa presha ya kwenda mbele kimafanikio, Ma dangote alijua anamkomoa kumbe anampa presha kupata vyake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Alisema gari kapewa na mzungu kumbe mmachame
Hahaha ule uliaji mpaka leo sijauelewa ujue...Yaani daahh!alikua mpenzi mtazamaji tu!!!mke wa marehemu ndo kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtesiiiiiiiHahaha ule uliaji mpaka leo sijauelewa ujue...
Zile zilikiuwa mixed feelings, Haaamini kama mtesi wake yuko kuzimu daadeki[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Nilishawaza Long time huyo hyo biashara ni geresha tu na ndio maana kakimbilia huko chamani ili wasi mu suspectAnapuliza kama kawa, alafu ile siyo biashara kuu, fatilia wauza nguo wote kuanzia robyone, hussein pamba kali na wengine zile biashara wanatakatishia mpunga wa nyeupe. We kuna biashara ya kuipa simba b2 mle ndani jiulize. Ogopa sana mtu anayependa kuelezea background yake aliyopitia kibiashara mara nyingi analazimisha kufuta mawazo ya "kapata wapi mtaji" kwa jamii.
Ni mmasaiWe Tabora hatuna empty set..
Ni mchaga..
Ila Nappe ndo alitaka kumpachika Tabora
Akashindwa
Tabora Hadi msomali Rage alishapewa ubunge...
Witnessj[emoji39]Mchepuko hana thamani...pale ndo niliamini[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Zinatolewa hata kwa masturbation, maana walifanyia uingereza then unapandikiza mbegu kulingana na jinsia utakayoWalizitoaje mbegu? Walipasua korodani[emoji16]?
Na hatupendi maana wameongeza tozo ili walipane mapierdiem makubwa wahonge vzr!!!Wajue kuwa sisi wanyonge tunajua matendo yao ya kishetani[emoji22][emoji22]
Weeee mji mdogo huuDah huyo dada naye kachangia mume kuhangaika au ndio kukomoana kwa hvo. Maana huyo dada kasoma na shoga angu alikuwa na hyo tabia tangu secondary
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani kaahhh!Mungu anakuona ujue!!ila fyoko fyoko kuonana ujue!Hahaha ule uliaji mpaka leo sijauelewa ujue...
Zile zilikiuwa mixed feelings, Haaamini kama mtesi wake yuko kuzimu daadeki[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkomoano dot com....!!!!kumbe baas akakutana na mkobaji bingwaa!!!weee!acha kabisaaa unaambiwa demu alikua haelewi kwa tomboy !!!Dah huyo dada naye kachangia mume kuhangaika au ndio kukomoana kwa hvo. Maana huyo dada kasoma na shoga angu alikuwa na hyo tabia tangu secondary
Yaani mji mdogo haswaaaaa!!!ishu ni kua viwanja vyao na wengine wanaenda pia,machawa wao siye washkaji zetu na hao madanga wao siye mashemeji zetuuu!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Weeee mji mdogo huu