Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Anapuliza kama kawa, alafu ile siyo biashara kuu, fatilia wauza nguo wote kuanzia robyone, hussein pamba kali na wengine zile biashara wanatakatishia mpunga wa nyeupe. We kuna biashara ya kuipa simba b2 mle ndani jiulize. Ogopa sana mtu anayependa kuelezea background yake aliyopitia kibiashara mara nyingi analazimisha kufuta mawazo ya "kapata wapi mtaji" kwa jamii.
Nilishawaza Long time huyo hyo biashara ni geresha tu na ndio maana kakimbilia huko chamani ili wasi mu suspect
 
Hahaha ule uliaji mpaka leo sijauelewa ujue...

Zile zilikiuwa mixed feelings, Haaamini kama mtesi wake yuko kuzimu daadeki[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani kaahhh!Mungu anakuona ujue!!ila fyoko fyoko kuonana ujue!
 
Dah huyo dada naye kachangia mume kuhangaika au ndio kukomoana kwa hvo. Maana huyo dada kasoma na shoga angu alikuwa na hyo tabia tangu secondary
Mkomoano dot com....!!!!kumbe baas akakutana na mkobaji bingwaa!!!weee!acha kabisaaa unaambiwa demu alikua haelewi kwa tomboy !!!
 
Lile lishape la Wema lingeweza kumuingizia sana oesa enzi zile akiwa na Martini Kanda. Angebuni Wema collection akatuwekea mitindo ya Kiafrica akibase kwenye vitenge na khanga.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom